• This is default featured slide 1 title

    Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

  • This is default featured slide 2 title

    Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

  • This is default featured slide 3 title

    Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

  • This is default featured slide 4 title

    Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

  • This is default featured slide 5 title

    Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

Tuesday, December 5, 2023

YATIMA GEREZANI 12

 



YATIMA NA GEREZA LA KUTISHA 😭😭


Mtunzi: Mwaki Ze Done


Sehemu ya 12.


Nomani akiwa anachukua ile bastola bahati mbaya yule mkubwa alimuona, na hapo ilibidi waanze kunyan'ganyana ile bastola na yule mkubwa, katika ile hali ya kunyan'ganyana Nomani alishika sehemu ambayo siyo, risasi ilifyatuka na kumpitia yule mkubwa kifuani, tena upande uliko moyo.


Askari magereza walio mleta Nomani pale ofisini kwa mkubwa wakiwa nje kwenye korido walisikia mlio was risasi Ndani, kwa akili yao ya kawaida walijua mkuu kamuua dogo, ila miili yao ilibaki ya moto na jasho kuwatoka baada ya kukuta mkubwa wao kalaza kichwa juu ya meza na damu zimejaa chini, huku Nomani akiwa pembeni anatetemeka.


Askari wale walipiga filimbi kuita Askari wengine, Ndani ya dakika mbili Askari walijazana Ndani ya ofisi ile na Nomani aliwekwa chini ya ulinzi, kwanza Siku hiyo Nomani alipigwa kipigo mpaka alizimia.

Taarifa zilisambaa gereza zima kwamba dogo kaua mkuu wa gereza, yaani wafungwa wote hiyo taarifa waliipata, muda huo Nomani alikuwa kafungiwa kwenye chumba Cha pekee yake akiwa kazimia.


Nomani alikuja kuzinduka ushakuwa usiku mnene, na alikuwa yupo kwenye kachumba ka pekee yake huku kukiwa na baridi ya kutosha.

Palikucha mpaka asubuhi, Siku nzima Nomani alishinda bila chakula yaani ilikuwa ni mwendo wa kumkomoa tu.


Baada ya Siku kama tatu hivi Nomani iliamuliwa ahamishwe gereza kwa sababu alionekana kuwa na hatari kukaa na wenzake.

Ilikuwa Jioni Giza likiwa linaanza Nomani akiwa kafungwa mikono na miguu alianza kuhamishwa gereza huku akiwa anapelekwa gereza la watu watukutu, Gereza hilo lilikuwa Katikati ya pori kubwa, tena pori ambalo lilikuwa limezungukwa na wanyama wa kutosha na wakali, ilikuwa ni zaidi ya pori nene , na huko ndiko aliko pelekwa Nomani.


Safari ile ilichukua karibia Siku nzima mpaka kufika huko, na Nomani alikuwa kawekewa ulinzi haswa, ila Nomani ndani yake alikuwa anatetemeka na kuogopa muno, yaani alikuwa anajiona Kabisa maisha yake ndo baasi tena.

Baada ya kufika kwenye lile gereza baada ya Nomani kuona tu mazingira ya lile gereza alijua maisha yake ndo basi, kwanza askari walio mpokea tu walikuwa na Sura ngumu na ya ukauzu kama wameramba Sumu.


Siku ya kwanza tu pale gerezani Nomani alipokelewa na kipigo, tena kipigo Cha bila sababu, yaani alidundwa haswa na Askari wa pale, na hiyo ilikuwa kama kumuonesha Nomani kwamba pale hakuna masihara.


Nomani aliyaanza maisha ya pale gerezani kinyonge, alipokelewa na wababe wa pale, yaani Nomani aligeuzwa mtumwa alikuwa anapewa Kazi na kila mfungwa mule ndani, yaani mtu yeyote akijisikia kukunwa au kufanyiwa masaji anamuita Nomani, yaani Nomani aligeuka mfanyakazi wa wafungwa mule gerezani.

Na mbaya Zaidi katika gereza hilo askari walikuwa hawaingilii hovyo hovyo Mambo ya wafungwa labda mpaka kuwe na vagi kubwa.


Mambo yalienda mbali Zaidi baada ya Nomani kuonekana ni mtoto wa Mama, huku kila mfungwa akiwa anashangaa kwa nini dogo laini laini kama yule kaletwa kule, basi kuna kundi la wababe kama watatu ambao walikuwa wanaogopewa na gereza zima mpaka maaskari, Siku hiyo baada ya kuona dogo Nomani masaji alizo wafanyia hazijawatosha waliamua kumfanyia kijana ukatili.

Nomani aliingiliwa nyuma na wale majamaa tena kwa nguvu na wote watatu walifanya hivyo kwa dhamu, kutokana na maumivu pia kutokwa na damu nyingi kutokana na kuchanika vibaya, Nomani alizimia baada ya kufanyiwa kile kitendo


Ndani ya gereza lile kulikuwa na wafungwa asilimia kubwa wakiwa na roho mbaya, ila wale wachache wenye huruma walimuonea huruma mumo dogo Nomani kwa kile alicho fanyiwa, kwanza ilibidi wamsaidie na kumpeleka kwa askari magereza, baada ya hapo Nomani alipelekwa kwenye kitengo Cha afya ili kutibiwa.

Nomani alikuja kuzinduka baada ya masaa kama 24 kupita yaani Siku nzima, na kijana alikuwa anajisikia maumivu makali muno sehemu ya haja kubwa, yaani alikuwa kila akikumbuka majamaa walivyo mfanya basi machozi tu yanaishia kumtoka.


Nomani alitibiwa Siku kama tatu hivi, kabla hajapona hata vizuri alitolewa na kurudishwa kwa wafungwa wenzake.


"Dogo ukiwa zoba zoba na Mzembe utaendelea kuwa mboga ya wahuni, ili uishi humu inatakiwa uwe na roho ngumu, changanya roho mbaya la sivyo utakufa kabla hata huu mwaka haujakata!" Baada ya Nomani kurudishwa mule ndani alifuatwa na jamaa mmoja mbavu, hayo ndo maneno aliyo ambiwa Nomani.

Basi kijana Nomani alikuwa anamwaga tu chozi.


Zilipita Siku mbili huku Nomani akiwa bado anapelekeshwa na kutumikishwa.

Ndani ya gereza hilo ilikuwa ni kawaida kwa baadhi ya wafungwa kuchaguliwa kwenda porini kukata kuni, na magogo kwa ajili ya kazi za hapa na pale, na Mara nyingi ilikuwa kila wafungwa wakienda huko porini lazima mfungwa mmoja au wawili waliwe na wanyama wakali.

Pia ndani ya msitu huo ilisadikika kuna mizimu na majini ya kutosha,kwa hiyo hakuna mfungwa ambaye alikuwa anapenda kwenda huko porini, pamoja na kwamba wafungwa hao walikuwa wanaenda bila Askari yeyote anaye walinda, lakini hakuna hata mmoja ambaye alikuwa anathubutu kutoroka.


Bahati mbaya kwa Nomani akiwa hata hajapona vizuri, Siku hiyo naye alipewa nafasi ya kwenda huko porini na wenzake, kutokana na uzembe na ulegevu wa kijana Nomani kila mtu aliamini kijana huyo hatorudi huko porini.

Wafungwa kama ishirini walichaguliwa,na kweli wafungwa wale waliingia porini kukata kuni.


Kijana Nomani kutokana na vitisho alivyo pewa kuhusu lile pori alikuwa anaogopa isivyo kawaida.

Kazi ya kukata kuni iliendelea kule porini, Siku hiyo ilikuwa kama Siku mbaya kwa wafungwa wale, wakiwa wanaendelea na ile shughuli Mara walivamiwa na kundi la mbwa mwitu kule porini, hakika Siku hiyo kila mtu alitafuta pa kukimbilia, wengine walipotelea porini Zaidi na kuliwa na wanyama wengine wakali wengine walijeruhiwa na wale mbwa mwitu! Katika wafungwa ishirini walio enda porini ni wafungwa sita tu ndo walirudi na katika hao sita wanne walikuwa wamejeruhiwa.


Wawili walirudi wakiwa hawana hata alama ya kuumia na miongoni alikuwa ni kijana Nomani.

Wafungwa wengi walishangaa Nomani kurudi mzima, kutokana na ule mshangao Nomani alijikuta anaanza kupata ujasiri na kujiona anaweza.


Zilipita Siku mbili nyingine, ila yale mawazo ya Nomani kuingiliwa nyuma na wale majamaa yalikuwa bado hayajaisha.

Ilikuwa ni majira ya jioni, Nomani akiwa kaelekea kwenye mabafu ya kuogea katika pita pita yake, alikuta kuna jamaa anaoga alafu pembeni kaweka bonge ya kisu na dispisi mbili alafu na msokoto wa bangi. 


Nomani alijikuta akili ya haraka haraka inamjia Kwamba aibe kile kisu kwa ajili ya kujirinda, ni kweli kijana Nomani haraka haraka aliiba kisu na disipisi moja baada ya hapo alichomoka maeneo yale kama mshare.

Nomani kile kisu alikificha kwenye suruali yake kiasi kwamba kuonekana ingekuwa ngumu.


Siku hiyo ilipita huku Nomani akiwa kalala na kisu.

Ilikuwa Siku nyingine wafungwa wote siku hiyo walikuwa wamepelekwa kwenye mazoezi, yaani yalikuwa ni mazoezi adhabu, ukiwa lege lege na dhaifu wanakuta umekauka damu.


Mazoezi hayo yalipigwa mpaka muda wa chakula, baada ya hapo wafungwa ndo walipewa muda wa kupumzika.

Masaa yalisogea hatimaye ilifika Jioni nyingine tena.


Kijana Nomani akiwa katulia sehemu huku anawaza mambo yake, alimuona miongoni mwa jamaa walio mfanyia unyama akiwa anakatiza anaelekea maeneo ya mabafuni.

Nomani aliamua kumfuata yule jamaa kwa nyuma nyuma, yaani Nomani kifua chake kilikuwa kinazidi kupandisha hasira kila alipo mwangalia yule jamaa , alafu alikumbuka na kile walicho mfanyia.


Yule jamaa alifika bafuni, na kuanza kupata starehe zake, ilikuwa ni bangi anavavuta, basi jamaa alijisahau kama yupo Nyumbani yaani alikuwa anavuta bangi alafu anajiona kama yupo jiji la maraha.

Nomani akiwa upande wa nyuma alichomoa kile kisu na kumsogelea yule jamaa ambaye utamu wa bangi ulikuwa umemkolea haswa.


Nomani alinyanyua juu kisu tena kwa nguvu na kumkita nacho yule jamaa shingoni, yaani kisu kilikitwa nusu kitokezee upande wa pili, yule jamaa hakupiga hata kelele yaani pale pale damu zikiwa zinamtoka alidondoka chini.

Nomani akiwa na roho ya ujasiri alikivuta kile kisu na kukichomoa, hapo ndipo damu zilitoka kama maji kwenye shingo ya mhuni yule.

Nomani alipangusia nguo za yule jamaa kile kisu chake baada ya hapo alichomoka mule bafuni.


Ila bahati mbaya akiwa anatoka mlangoni alikutana na jamaa mwingne miongoni mwa wale watatu walio mfanyia unyama, na jamaa huyo alikuwa anaelekea mule bafuni kuungana na mwenzake ambaye alikuwa katangulia kupiga bangi.

Yule jamaa pasina kugundua lolote alipishana na Nomani.


Kijana Nomani naye baada ya kugutuka aliona ni muda wa kupiga ndege wawili kwa jiwe moja, haraka haraka yule jamaa akiwa hajafika hata pale mwenzake alipo fia, Nomani alimfuata kwa nyuma na kumchoma kisu Cha mgongo, yule jamaa akiwa anashituka na kugeuka Nomani alichomoa disipisi na kumkita nayo kwenye shingo, yaani alimkita nayo kama Mara tatu hivi hapo damu tu ndo zilionekana kuruka kila sehemu, Nomani alilowana damu mwili mzima.

Kama kawaida Nomani alifuta kisu chake damu na dispisi.


"Bado mmoja!!" Hayo ni maneno ambayo Nomani alijisemea kwa hasira na ujasiri mkubwa baada ya hapo alificha kisu na ile disipisi kwenye nguo zake.

Wakati anatoka huku mwili mzima ukiwa umelowa damu kuna wahuni wawili alipishana nao mlangoni.

Hazikupita sekunde hata tatu wale majamaa walipiga kelele kuita watu waje wajionee kilicho tokea, yaani ndani ya sekunde kumi tu ni kama wafungwa wote walihamia kule mabafuni.


"Kudadeki yule dogo ndo kafanya hivi mbona anaonekana fara fara fulani hivi"

"Duuuuu!! Kumbe dogo ana Mambo eeee!!"

"Sema afadhari, maana hawa wapuuzi Walikuwa wanajiona gereza wamejengewa wao"

Hizo zilikuwa ni kauli mbali mbali za wafungwa maeneo yale ya bafuni.

Askari magereza walifika kushuhudia kile kilicho tokea kwanza hapo ilibidi Nomani afuatwe kule aliko enda.


Nomani alikutwa kakaa kwenye korido huku akiwa katapakaa damu mwili mzima, tena alikuwa anakinoa kile kisu kwenye sakafu.


Wale askari magereza walimkamata Nomani na kumpokonya kile kisu, baada ya hapo walianza kumkokota ili wakamfungie kwenye chumba Cha barafu.

Muda huo huo yule jamaa ambaye ndo rafiki wa wale wawili walio uawa na Nomani alifika pale akiwa na hasira,bila kujari maaskari walio mshika Nomani,moja kwa moja alimvaa Nomani mwilini.


Je hili ndo gereza la kutisha linalo zungumziwa au kuna jingine, usikose sehemu zijazo.




Tukutane sehemu ya 13

Share:

YATIMA GEREZANI 11

 


YATIMA NA GEREZA LA KUTISHA 😭😭


Mtunzi: Mwaki Ze Done


Sehemu ya 11.


"Sasa ni muda wa kukamilisha ule mpango wetu, Dosomi mpigie Mama bonge atuletee mtu wetu ili tutimize mpango wetu!, Alafu Farhan na wewe hakikisha ile dawa inakuwa tayari, haitakiwa kukosea stepu hata moja, maana zaidi ya hapo tutaingia kwenye matatizo." Mama Samir akiwa anatabasamu aliongea.


Upande wa pili Nyumbani kwa Mama bonge, baada ya kupokea taarifa kutoka kwa Dosomi, ilibidi amuite Nomani kutekeleza kile alicho ambiwa.


"Noman! Mwanangu sikiliza nimeongea na Mama yako, kakili kabisa makosa yake na kaomba umsamehe Sana, na muda siyo mrefu kanipigia Simu kwamba uende ili mkajadili vizuri, ikiwezekana uweze kupewa baadhi ya Mali za Baba yako usimamie mwenyewe" hayo yalikuwa maneno matamu ambayo Nomani baada ya kuitwa aliambiwa na Mama bonge.


"Uuuuuu!! Aunt ya Kweli hayo, maana wale watu kwa roho mbaya yao wasije wakaniua!" Nomani japo kuwa alifurahia zile taarifa ila alikuwa na wasiwasi haswa.


"Nomani hiyo haiwezi kutokea, maana nao wanajua wakifanya hivyo watapata matatizo makubwa!" Mama bonge alikuwa anadanganya Nomani huku macho yake yakiwa makavu kama ndo kweli hivi.

Basi jioni ile kigiza kikiwa kinaanza Nomani aliondoka pale na kuelekea huko kwao, na alipewa na pesa ya kupanda daladala kabisa ili asichelewe.


Noman alifika pale kwao, kwanza kitu Cha kwanza, alikuta mlango wa pale getini upo wazi, alijaribu kumuita Bwana Olenashi ambaye muda mwingi alikuwa anashinda getini lakini hakuwepo kwa muda ule.

Nomani akiwa hana hata wasiwasi alinyoosha moja kwa moja mpaka kwenye mjengo, Nomani alifika mlangoni aligonga ule mlango kwa mashaka kidogo, maana alikumbuka kwa Mara ya mwisho kuingia mule Ndani alikuwa kakoswa koswa na risasi.


Nomani alisikia sauti ya karibu na ilikuwa sauti ya Mama Samir, basi kwa uoga Nomani alizungusha kitasa na kusukuma mlango! Kisha alizama Ndani.


"Heeee!!! Ucle Olenashi!!!" Baada ya kufika sebuleni, Nomani alishituka kuona mwili wa Olenashi upo chini huku damu zikiwa zimetapakaa chini, Nomani aliita kwa mshangao na uoga.

Ila muda ule ule akiwa kaduwa, bwana Dosomi alimvizia kwa nyuma na kumchoma sindano mgongoni.

Sindano hiyo ilikuwa ni sindano ya Aina yake, ilikuwa ni sindano ya kuvuruga akili kwa muda.


Baada ya Nomani kuchomwa ile sindano kwanza alianza kuhisi kizunguzungu, yaani alikuwa anaona vitu vyote mule Ndani vinazunguka.


"Wewe ndo uliye muua Olenashi na huyu binti!! Wewe ni muuaji Nomani!!" Akili ya Nomani ikiwa imevurugika huku kijana haelewi chochote, Mama Samir alimshikisha Nomani bastola huku akiwa anamwambia Maneno ambayo yeye alijua kwa nini anasema hivyo.

Baada ya hapo bastola ikiwa mikononi mwa Nomani, Mama Samir alimpiga risasi nyingine Olenashi huku akiwa kamshikisha ile bastola Nomani, baada ya hapo kijana Nomani alichomwa sindano nyingine.


Noman alianguka chini akiwa kashikilia ile bastola mkononi.

Mama Samir na watu wake walifanya walicho ona ni sahihi baada ya hapo waliondoka pale nyumbani huku wakiacha Milango wazi.


Masaa yalisogea, usiku mnene ulisogea huku Nomani akiwa bado hajazinduka, hatimaye palikucha mpaka asubuhi huku Nomani akiwa bado hajazinduka, muda huo Mama Samir na Farhan walionekana wakiwa hotelini.


"Farhan masaa si yanakaribia, tumpigie yule afande!!" Mama Samir alimuuliza Farhan, basi Farhan aliaangalia saa yake na kutikisa kichwa kwamba ndo muda mwafaka.

Upande wa huku Nyumbani Sasa kidogo kidogo Nomani alianza kurudisha fahamu huku akiwa anakohoa muno.


Baada ya dakika kama tano Nomani alizinduka kabisa huku kichwa kikiwa kinauma, kijana Nomani alipo angalia pembezoni mwake alikuta kuna maiti mbili, huku akiwa kashika bastola.

Kwanza Nomani alishituka huku jicho likiwa linamtoka, yaani kumbukumbu zote kichwani zilikuwa zimefutika! Alikuwa anakumbuka vitu vichache tu vilivyo tokea kwa Mara ya mwisho.


"Wewe ni muuaji Nomani, umemuua Olenashi!" Hayo ndo maneno ambayo yalikuwa yanazunguka kichwani mwa kijana Nomani, yaani alikuwa haelewi kipi ni kipi.

Akiwa anashangaa na bastola yake mkononi, Nomani alishituka kundi la watu wanazama mule Ndani, walikuwa ni askari wa kutosha.


"Mikono juu, upo chini ya ulinzi" hiyo ilikuwa ni amri kwa kijana Nomani, Nomani akiwa anageuka ili awaangalie vizuri wale Askari alipigwa risasi ya mguu, yaani alidondoka pale pale chini na kuzimia.

Yalipita masaa kama sita hivi Nomani ndo alikuja kushituka akiwa hospital, huku pingu ikiwa mkononi.


"Kijana afadhari umeamka, ebu nambie dogo ilikuwaje mpaka ukaua!?" Alikuwa ni doctor Devi kaingia mule ndani, na alimuuliza Nomani, ila Kijana Nomani ni kama akili zake zilikuwa zimehama, yaani alikuwa ni kama zezeta, alikuwa haelewi dunia inaenda vipi.

Doctor Devi alikuwa ni mtu anaye penda kufuatilia Mambo na kuchokonoa, pia alikuwa ni kijana anaye jua Mambo mengi na anaye aminika kwenye hospital kubwa kama ile.

Doctor Devi baada ya kuona Nomani hayupo Sawa, ilibidi achukue damu yake ili akapime kama kuna chochote alikula au kurishwa, maana alihisi huwenda alipewa hata madawa ya kulevyaa.


Siku hiyo ilipita, zilipita na Siku nne zingine, bado doctor Devi kipimo chake kilikuwa hakijasoma majibu, ila Siku ya nne usiku doctor Devi ndo majibu ya kipimo chake yalionekana, na aligundua kwamba kijana Nomani ndani yake kuna Sumu kali muno inayo muendesha, ila bahati mbaya hakujua ni sumu ya aina gani na tiba yake ni ipi.

Doctor Devi alijiapia kwamba lazima kesho yake aanze kufanya uchunguzi ili aweze kumtibia kijana Nomani.


Bahati mbaya Siku inayo fuata asubuhi asubuhi Nomani alikuja kuchukuliwa, kwa sababu ilikuwa ni Siku ya yeye kupandishwa mahakani, na Nomani hali yake ilionekana kuimarika kiasi kwamba angeweza kusimama mahakamani.

Ilikuwa ndani ya mahakama, ni watu wengi muno walikuwa wamejazana kuja kushuhudia muuaji aliye uwa watu wawili kwa risasi, kila mtu alipo muona Nomani pale mahakamani alibaki anashagaa kutokana na umri wa kijana yule.


Kesi ile ilianza kusikilizwa, ila Nomani kila alipo ulizwa jibu lake lilikuwa ni kwamba hajui na haelewi chochote, yaani alikuwa hana majibu kama kaua au hajaua.

Basi kesi ile Siku hiyo iliahirishwa na ilipangwa kusikilizwa baada ya wiki moja mbele.


Nomani kwakuwa alikuwa hajapona kabisa alirudishwa hospital, basi baada ya Nomani kurudishwa hospital doctor Devi ilibidi Sasa aanze kufanya uchunguzi wake kuhusu ile sumu na dawa ipi inaweza fanya kazi.


Baada ya Siku kama nne hatimaye doctor Devi aligundua dawa ambayo inaweza toa ile sumu, Siku hiyo hiyo alimuanzishia dozi kijana Nomani, na ilikuwa Dozi ya sindano ambazo zinachukua karibia wiki ili dozi ikamilike.

Doctor Devi alimchoma Nomani sindano siku tatu, akiwa kapanga kwenda kumchoma Siku ya nne alipo fika pale hospital asubuhi alikuta Nomani kachukuliwa kupelekwa mahakamani kwa Mara nyingine.


Awamu hii Nomani alionekana kuimarika vyema kiafya, hata akili yake ilikuwa imeanza kurudi taratibu baada ya kuchomwa sindano zile kwa karibia Siku tatu, yaani awamu hii Nomani kumbukumbu zilikuwa zinakuja zinapotea.

Bahati mbaya Siku hiyo mahakamani Nomani hakupewa nafasi kubwa ya kujielezea, yaani mashahidi wachache tu walisikilizwa na hakimu alitoa hukumu yake.


"Kwakuzingatia ushahidi ulio tolewa, na kuzingatia maelezo ya mtuhumiwa ni dhahiri kwamba, kijana Nomani alimuua bwana Olenashi na binti Sarah kwa makusudi kabisa, kutokana na makosa uliyo yafanya unafungwa kifungo Cha maisha gerezani" hayo yalikuwa ni maamuzi magumu ya hakimu, baada ya hapo nyundo iligongwa mezani kuashiria kesi imekwisha.

Muda huo doctor Devi ndo alikuwa anafika pale mahakamani, alikutana na stori tu kwamba dogo kapigwa kifungo cha maisha gerezani.


Doctor Devi aliwafuata Askari na kuwaomba Nomani akamalizie Dozi yake ya sindano zilizobakia, ila wale askari waligoma na kusema sheria hairuhusu, na walimtaka doctor Devi akalete hizo dozi watampatia wenyewe.


Ni kweli majira ya Jioni doctor Devi alipeleka dozi nzima na kutoa maelezo Namna ya kumpatia mgonjwa.

Baada ya hapo kijana Nomani alipelekwa gerezani, gereza hilo lilikuwa siyo mbali na pale mjini, ilikuwa ni nje kidogo ya mji.


Maisha mapya kwa Kijana Nomani yalianza huku akili yake ikiwa bado haijakaa vyema, yaani alikuwa bado haelewi kipi ni kipi, bahati nzuri kwa kijana Nomani wale Askari walio pewa ile dozi walikuwa na utu kidogo, kwa hiyo Walikuwa wanatekeleza kama walivyo elekezwa.

Baada ya Siku kama tano Nomani alimaliza ile dozi na hapo ndo kizazaa kilianza, maana kijana Nomani akili yake ilirudi kama kawaida,ila akili ilirudi tayari alikuwa ashachelewa.


Na Nomani alishangaa kuambiwa kapimiwa kifungo Cha maisha gerezani, hapo kijana Nomani aliona usinichezee, kwanza alianza kufanya vurugu mule mule gerezani.

Siku ya kwanza Nomani alitia vurugu za kutosha na aliishia kupigwa virungu na Maaskari gereza, bahati nzuri gereza hilo askari walikuwa na utu kidogo, pia waharifu wengi walio kuwa wanapelekwa hapo walikuwa ni wale wenye makosa madogo madogo, yaani lilikuwa siyo gereza la wababe! Nomani yeye alipelekwa gereza lile jepesi kutokana na kwamba alikuwa mtoto japo kuwa alikuwa kaua.


Nomani pamoja na virungu hakukoma kufanya zile vurugu na alikuwa anataka wampeleke akaongee na mkuu wa gereza lile kwa sababu yeye hana hatia, yaani Nomani kwa akili yake alikuwa anaona akifanya vile anaweza kuachiwa.

Siku hiyo Askari magereza wamlibeba mkuku mkuku kijana Nomani mpaka kwenye ofisi za mkuu wa gereza lile.


Noman aliambiwa aingie ndani, na kweli aliingia bahati mbaya mkuu wa gereza hilo alikuwa ni mtu na roho yake mbaya.

Kwanza baada ya Nomani kuingia tu alikula makofi mazito matatu, huku akiwa anamtishia Nomani kumfyatua risasi ya kichwa kwa kutumia bastola ambayo ilikuwa ipo pale mezani.

Basi Nomani kwa akili ya utoto alipo ona bastola pale mezani, akili yake ilimjia kwamba aichukue amteke au kumtishia yule mkubwa ili yeye aachiwe, yaani kiufupi Nomani alifikiria Namna kwenye TV watu wanavyo tekaga mtu ili kujilinda, aliona naye anaweza fanya vile.


Nomani akiwa anachukua ile bastola bahati mbaya yule mkubwa alimuona, na hapo ilibidi waanze kunyan'ganyana ile bastola na yule mkubwa, katika ile hali ya kunyan'ganyana Nomani alishika sehemu ambayo siyo, risasi ilifyatuka na kumpitia yule mkubwa kifuani, tena upande uliko moyo.


Hapa ndipo kizazaa na jina la hii Simulizi linaenda kujitokeza ungana nami katika sehemu ijayo


Tukutane sehemu ya 12

Share:

YATIMA GEREZANI 10

 



YATIMA NA GEREZA LA KUTISHA 😭😭


Mtunzi: Mwaki Ze Done


Sehemu ya 10.


"Sasa uncle Ole, vipi kuhus vifo vya wazazi wangu wewe ulisema Mama na Uncle Farhan na Baba yake na Victor ndo wahusika, itakuwaje nao si naweza kuwafungulia kesi!?" Noman alikuwa anazidi kupekenyua mambo bila kugundua kama kuna mtu anasikiliza nje.


"Nomani sikiliza nishakwambia hiyo iache ibaki kuwa Siri kama Siri zingine, lasivyo utaishia pabaya, Mimi kukaa kimya siyo Kwamba mjinga, wewe ukifika kwa huyo Mama usimwelezee kuhusu Namna vifo vilivyo tokea, bali zungumzia kuhusu haki yako tu, ya kupata Mali" olenashi alizidi kufunguka.


"Sasa uncle olenashi maana yake ipi Sasa, yaani watu wameua wazazi Wangu wapo wanatumia Mali za wazazi Wangu alafu unasema nisilizungumzie hilo swala, Mimi siwezi uncle lazima hii kesi ifike mahakamani!" 


"Nomani mbona kichwa kigumu hivyo wewe, huko mahakamani wewe unao ushahidi wa kupeleka!?"


"Uncle Nomani si Shahid utakuwa wewe, maana wewe una ushahidi kuhusu kifo Cha Mama yangu namna alivyo kufa!" Nomani alizidi kubwatuka, ila olenashi alimwambia ile maada iishie pale pale na asije akarudia tena.

Muda huo bwana Farhan kijasho kilikuwa kinamtoka, alikuwa kasikia mazungumzo yote na kugundua Mambo yote.


"Duuuuu!! Huyu mpuuzi tunaishi naye hapa miaka yote kumbe anajua Siri zetu, alafu ushahidi gani ambao anao huyu mpuuzi, hapa bila kufanya Jambo mambo yanaweza kuwa magumu" Farhan hayo yalikuwa ni mawazo ambayo alikuwa anajiwazia huku akiwa anarudi ndani haraka haraka kwenda kumsimulia, Mama Samir.

Baada ya Mama Samir kusimuliwa kila kitu kilicho kuwa kinazungumzwa mwanamke alichanganyikiwa haswa, yaani alikuwa anaona anaenda kuumbuka.


"Heeee!! Farhan kama Nomani kaambiwa aende kwa yule kidudu mtu Mambo yanaweza kuwa magumu, yaani yule mwanamke ana gubu hatari mtaa mzima utajua, hapa inabidi tufanye kitu" Mama Samir alikuwa anakuna kichwa huku akiwa anaongea.


"Sasa kipenzi hapa tunafanyaje, maana inaonekana naye huyu olenashi kuna ushahidi anao kuhusu kifo Cha Mama Nomani, na hatuwezi jua ni ushahidi gani huwenda hata ni video" Farhan naye alikuwa na wasiwasi wake, yaani matumbo yalikuwa joto haswa.


"Dear! Sikiliza kwanza inabidi tufanye Jambo, Mali zote tunahamishia kwa Jina la Samir, alafu baada ya hapo tutajua kipi kinafuata, alafu mpigie Simu Dosomi aje na vijana wake tutengeneze mpango kazi wa kukabiliana na hili" hayo yalikuwa ni maneno ya Mama Samir, ambayo yalifanya Farhan atabasamu tu.

Upande wa huku kwa Nomani alikuwa hataki kupoteza hata nukta, baada ya kupewa maelezo na olenashi moja kwa moja alielekea kwa Mama ambaye alikuwa ni rafiki wa Baba yake enzi hizo.

Mama huyo alikuwa ni Mmiliki wa restaurant moja maarafu pale mjini, na wengi walikuwa wanamuita Mama chibonge, na hiyo ilikuwa inatokana na unene wake ila Jina lake kamili alikuwa anaitwa Helena.

Mama huyo bahati mbaya alikuwa hajabahatika kupata Mtoto maisha yake yote na pia alikuwa hana ndugu yeyote pale mjini zaidi ya marafiki na majamaa, na Mama huyo alikuwa kakulia huko vijijini maisha yake yote akiwa kalelewa na Bibi yake tu.


Nomani alifika kwa Mama huyo, alimkuta ndo anataka kuondoka.


"Fekon mwenyewe!  Eheee vipi kijana mbona umepauka hivyo kulikoni!?" Basi Mama yule chibonge baada ya kumuona Nomani aliongea kwa kuchangamka.

Noman alijikuta machozi yanaanza kumlenga lenga baada ya kutajiwa Jina la Baba yake.

Basi ilibidi waingie ndani kwanza ili Nomani asimulie kitu kilicho mleta.


Noman alisimulia kila nukta, yaani hakuacha hata neno, mpaka kuhusu vifo vya wazazi wake kama alivyo simuliwa na olenashi napo alisimulia.


"Heeeee huyu mwanamke kumbe shetani hivi, Sasa sikiliza hapa umefika mbona watataja yote, yaani wanataka wadhurumu Mali za mshikaji Wangu, aaaaaaa!!! hiyo haipo" Mama yule baada ya kupewa ile stori kwanza alibaki anatikisa tu kichwa, pale pale alichukua Simu na kumutwangia rafiki yake ambaye alikuwa mwanasheria.


"Sasa kijana wewe bakia hapa hapa Nyumbani, kuna mdada wa kazi kaenda sokoni Mara moja akikukuta mwambie Mimi ni shangazi sawa  ngoja kuna maswala naenda kufuatilia" Mama chibonge aliongea na kuondoka kwa mizuka.

Baada ya kutoka pale kwake safari ya Mama huyo ilikuwa ni kwa Mama Samir, yaani Mama huyo alikuwa siyo mtu wa kupepesa mambo, wala kusubiri kesho.


Alienda kumchana makavu Mama Samir laivu pale kwake.


"Sikiliza we mwanamke kama unataka haya mambo yasifike mbali, basi mkabidhi yule kijana haki yake, na kama unaona kazi basi mgawie hata nusu ya Mali za baba yake! Lasivyo utakosa kila kitu Maana hii kesi itafika mpaka mahakama za kimataifa" Mama chibonge baada ya kufika pale nyumbani na kumkuta Mama Samir akiwa na Farhan alitia mkwara wa maana.

Muda huo huo bwana Dosomi na vijana wake walifika pale, maana walikuwa wameitwa ili wajadili kwamba inakuwaje.


Mama chibonge baada ya kumuona Dosomi hapo ndo vitisho vilizidi, yaani mwanamke alikuwa anapayuka kupita kiasi.


"Nawapatia Siku mbili, mumrudishie yule kijana Mali zake au kesi hii iende mahakamani na ulimwengu mzima ujue madhambi mliyo fanya, na niwaambie tu ushahidi wote upo mkononi, kwa hiyo machaguo ni yenu!" Mama chibonge alitia mkwara na kuondoka pale Nyumbani kwa mbwembwe.


"Dosomi tumalizane naye kabla hajafika mbali! Maana hili lishakuwa balaaa!!" Baada ya Mama bonge kuondoka, Mama Samir alitoa maamuzi ya haraka haraka.


"Duuuuu sikilizeni, Mimi Helena namjua vizuri kuliko nyie, hata kijijini aliko tokea napajua vyema kwa sababu nimefika Mara nyingi tu enzi za uhai wa Mr Fekon, huyu mwanamke siyo mwepesi kama unavyo dhani, Bibi yake huyu ni mchawi wa wachawi,tukifanya upuuzi wowote kwa mjukuu wake!! Haaaaa hatumalizi hata wiki, hilo nina uhakika nalo na ushahidi kumhusu yule Bibi ninao anaitwa Bi Mwantumu maana kuna kazi amewahi kutusaidia, kikubwa hapa Cha kufanya inabidi tuongee na huyu Mama kiungwana na ikiwezekana kumpooza tumpooze!" Bwana Dosomi baada ya maamuzi ya kukurupuka ya Mama Samir aliamua kuelezea kiufupi kumhusu Mama chibonge.

Basi kwa umoja wao walijadili Jambo la kufanya.


Siku hiyo ilipita huku kwa upande wa Nomani akiwa kalala kwa Mama bonge tena kwa kujiachia na raha mstarehe.

Ikiwa ni Siku mpya majira ya saa nne Mama bonge alipigiwa Simu na bwana Dosomi kwamba wakutane.

Na kweli Mama bonge alienda sehemu husika, alipo fika alikutana na sura ya Mama Samir, Farhan na Dosomi mwenyewe.

Siku zote pesa hubadili wema wa mtu, pesa huondoa utu, pesa inaweza fanya mlima ukawa bahari, Mama bonge baada ya kufika pale alikutana na pesa zimejaa brifikesi, kwa  maisha yake ndo ilikuwa Mara ya kwanza kuona pesa nyingi kwa pamoja vile.

Kwanza alibaki akitabasamu na kucheka cheka tu baada ya kuona zile pesa.


Mama Samir alitoa maelezo na msaada ambao wanahitaji, basi Mama bonge bila hiyana huku udenda ukiwa unamtoka alikubali kuungana na wabaya wale.


"Sasa Mama bonge umesema Nomani yupo kwako, fanya mpango utuletee nyumbani kwa Namna yoyote, maana tunataka tuwaunganishe na mlinzi wetu pale nyumbani" hayo yalikuwa ni maombi mingine ya Mama Samir.


"Kuhusu hilo msijali, ila kitu ninacho waomba tumia plani yoyote ile ila Nomani msimuue" Mama bonge aliongea,basi walikubaliana wote kwa pamoja.

Dosomi na wenzake waliondoka pale huku vichwa vikiwa vinawasha, maana wao lengo lao lilikuwa ni kumuua Nomani, ila Mama bonge alikuwa kaomba kwamba wasimuue.


Basi Dosomi ilibidi awapatie mpango mwingine kina Farhan, na wote walikubaliana na huo mpango.


Ilifika jioni, pale nyumbani kwa Mama Samir, olenashi akiwa getini aliitwa na Boss wake ndani.

Mlinzi yule akiwa hana wasiwasi alizama mpaka ndani, basi baada ya kuingia alikutana na sura zimenuna kuliko kawaida.


"Olenashi ebu naomba unipe ushahidi wote ulio nao kuhusu mauaji ya Mama Nomani, na kama huna uniambie umeficha wapi, ukifanya hivyo pesa hizo hapo tunakupatia uondoke nazo uende nazo mbali kabisa" Mama Samir akiwa na Sura ya ukauzu aliongea maneno ambayo yalifanya Olenashi atumbue macho, yaani alikuwa haamini kama Siri zake zishagundulika.

Olenashi alikosea stepu, na tamaa yake na pesa ilimponza, yaani alijikuta kaelezea ukweli wote, na pia alielezea kwamba yeye hana ushahidi wowote.


"Ahaaaa vizuri, kwa hiyo olenashi unamanisha huna ushahidi ila wewe ndo shahidi, kwa mantiki hiyo tukikuua wewe tunakuwa tumepoteza ushahidi!?"Mama Samir akiwa anatabasamu aliuliza swali ambalo lilifanya olenashi apate kigugumizi.


Na kweli hata hazikupita sekunde nyingi Dosomi alichukua bastola na kumfyatulia Olenashi risasi ya kichwa, yaani pale pale mlinzi yule alidondoka chini na kufariki pale pale.

Pale nyumbani alikuwepo mdada wa kazi ambaye alikuwa anamsaidia Mama Samir, kwa kuwa yule mdada kuna Siri kadhaa alikuwa naye kazisikia, ilibidi naye aunganishwe na Olenashi, naye alipigwa risasi ya kichwa.


"Sasa ni muda wa kukamilisha ule mpango wetu, Dosomi mpigie Mama bonge atuletee mtu wetu ili tutimize mpango wetu!, Alafu Farhan na wewe hakikisha ile dawa inakuwa tayari, haitakiwa kukosea stepu hata moja, maana zaidi ya hapo tutaingia kwenye matatizo." Mama Samir akiwa anatabasamu aliongea.


Je ni mpango gani hawa watu wanataka kuufanya!? Hadithi ndo imeanza Sasa kunoga usikose sehemu zijazo.


Tukutane sehemu ya 11

Share:

YATIMA GEREZANI 9

 



YATIMA NA GEREZA LA KUTISHA 😭😭


Mtunzi: Mwaki Ze Done


Sehemu ya 9.


"Oya fanyeni haraka mvua inakuja hii jamani!" Basi kuna jamaa mwingne aliongea kuharakisha Mambo, Nomani alijikuta anajikatia tamaa picha ya Baba yake ikiwa inamjia kichwani, kijana alijikuta anafumba macho huku akiwa tayari kwa kile kinacho enda kutokea.

Nomani alifungwa jiwe mgongoni bila hata kuonewa huruma, baada ya hapo kijana alitupwa kwenye ule mto.

Sekunde ile ile anatupwa kwenye maji kuna dogo alifika pale akiwa anahema akionekana ni mtu aliye kuwa anakimbia.


"Jamani wale mbuzi wa Mzee Makanja wamekamatwa kijiji Cha pili, na wezi wametaja kwamba Lumi ndo aliye wauzia usiku ila kwa bei ya hasara!" Hayo yalikuwa ni maelezo ambayo yalifanya kila Mmoja aliyepo pale ashike kichwa na kutazama mtoni, maana iligundulika mwizi siyo Nomani bali ni yule mjukuu wa Mzee makanja.


"Duuuuu!! Ila siyo mbaya! Kwasababu hata hivyo huyu dogo naye alikuwa mwizi!" Basi kuna jamaa na roho zake mbaya baada ya kuona watu wameshika vichwa aliamua kuwatoa wasiwasi na kuonekana kama walicho kifanya siyo kosa.

Mvua kubwa ilianza kunyesha, kila mtu aliondoka kimya kimya pale mtoni huku wengine roho zao zikiwa zinauma, wengine wakiwa wanaona poa tu.


Kuna jamaa alijikuta tu huruma inamuingia na imani fulani inamjia, wakati mvua kubwa inapiga, watu wote wakiwa wanakimbia yeye badala yake alidumbukia ndani ya ule mto na kuzama kwa ajili ya kumtafuta kijana Nomani kama bado yupo hai.

Bahati nzuri ule mto maji yalikuwa hayatembei kwa kasi hivyo,kwa hiyo alipo Zama alikuta mwili wa kijana Nomani ukiwa ndo unapambania pumuzi ya mwisho.


Kijana yule alipambana kufungua lile jiwe haraka haraka, kwa kuwa alikuwa anajua kuogelea baada ya kufungua jiwe aliibuka na Nomani juu ya maji na kumtoa mpaka nje.

Nomani tumbo lilikuwa limejaa kama linataka kupasuka, yaani alikuwa kameza maji ya kutosha.


Yule kijana alifanya kila jitihada kumsaidia Nomani na yale maji yote aliyo meza Nomani yalifanikiwa kutoka, ila Nomani bado alikuwa hajazinduka wala kuonesha dalili za kuzinduka.


Kijana yule akiwa anazidi kuparangana pale kwa ajili ya kuokoa uhai wa Nomani, aliona kuna bonge la nyoka anakatiza yale maeneo, yaani alikuwa ni nyoka mkubwa hajawahi ona.

Kutokana na uoga ambao alikuwa nao yule kijana pindi linapo kuja swala na wadudu haswa nyoka, yaani alikimbia kama haji kukimbia tena, alimsahau Nomani pale pale.


Mvua kubwa ilizidi kunyesha huku kigiza kikiwa kinaanza, basi yule nyoka alipita eneo lile na kupotelea zake kwenye maji.

Mvua ile ilipiga mpaka saa mbili usiku, Nomani ndo muda alio zinduka huku mwili wake ukiwa na baridi haswa.


Kwanza Nomani baada ya kuzinduka alikuwa hajielewi kabisa, yaani akili ni kama zilikuwa zimeruka alikuwa haelewi kipi ni kipi.

Nomani alijitahidi kusimama, huku akiwa anatetemeka, baada ya hapo alianza kutembea kuelekea hata asiko kujua


Nomani alikuwa anatembea huku akiwa anapepesuka, baridi kali ilikuwa inamtwanga haswa, kukiwa na giza Nomani akiwa haelewi hata anako elekea alizidi kusonga mbele.

Noman alitembea umbali mrefu muno bila kuona msaada wowote, Zaid zaidi Nomani alikuwaa anasikia sauti za bundi na wanyama wa ajabu kule porini.


Baada ya Nomani kuona haelewi hata ataishia wapi aliamua kukaa chini ya mti usiku ule, yaani akili ya kijana Nomani bado ilikuwa haijakaa vyema na kukumbuka kipi kimetokea.

Homa na baridi kali vikiwa vinatalii kwenye mwili wa Nomani, ila Nomani alikaa pale chini ya mti kwa kuvumilia mpaka kulikucha.


Walau kijua kilipo anza kuwaka hapo Nomani ndipo alipo pata nguvu na akili zilianza kumrejea taratibu taratibu.


"Heeee!! Kwamba ndo nishakufa ama!? Huku nipo wapi Sasa!!" Baada ya Nomani kukumbuka kilicho mtokea Mara ya mwisho alianza kujishangaa na kujiuliza bila kupata majibu, yaani alikuwa anaona kama maajabu.

Nomani alikuwa yupo Katikati ya pori zito muno, yaani katika harakati zake za kuchunga mbuzi pale kijijini alikuwa hajawahi fika maeneo hayo ya porini.


Nomani alipiga Mahesabu na kuangalia upande upi kunaweza kuwa na msaada, basi aliona aelekee kule jua linako elekea.

Nomani alianza safari akiwa mdogo mdogo, ila kadri anavyo zidi kusonga mbele aligundua ndo anazidi kuzama ndani ya msitu kabisa, ila kijana Nomani aliona ni Bora asonge mbele kuliko kurudi nyuma.

Nomani alitembea tokea asubuhi mpaka jioni kigiza kikiwa kinaanza lakini bado alikuwa hajatoboa ule msitu, ila bado hakukata tamaa ya kutembea.

Mpaka inafika saa sita za usiku Nomani akiwa hoi alikuwa bado hajatoboa, hapo ilibidi atulizane na kukaa sehemu.


Kulikucha tena, Nomani aliendelea na safari huku mwili wake ukiwa umenyong'onyea muno kutokana na njaa kali ambayo ilikuwa inamchapa.


Nomani baada ya kutembea muno hatimaye alianza kuona matumaini, baada ya kuona mbuga kubwa huku mashamba ya mpunga yakiwa yameongozana na mwisho wake hauonekani.

Nomani alianza kukatiza mashamba yale ya mpunga akiwa na imani kwamba ataona watu maeneo yale.


Kama tujuavyo maeneo ya mbugani yanakuwa na maji maji kila sehemu, basi Nomani alijikuta anatembea huku akiwa anadondoka na kuinuka, yaani alikuwa anakatiza majaruba ya mpunga  mpaka anatamani kupaa, maana mashamba yale yalikuwa makubwa muno.

Hatimaye Nomani alianza kuona vimoshi vikiwa vinaonekana kwa mbali huku akiwa anaona mahema kwa mbali, hapo Nomani alipata nguvu na kuamini anaenda kukutana na watu, japo kuwa Nomani bado alikuwa haamini kama yupo kwenye dunia ya kawaida.


Nomani alipata ngvu ya kutembea zaidi baada ya kuona dalili ya kupata msaada, Nomani alifika kwenye yale mahema na alisikia watu wakiwa wanacheka ndani ya mahema yale.

Nomani alijikohoresha kwa nje na kubisha hodi huku akiwa na presha maana alikuwa bado anahisi yupo dunia ya tofauti kabisa.


Basi alitoa jamaa mmoja akiwa kavua shati huku ana kitambi cha pombe


"Oya dogo vipi, umetokea wapi mbona sijawahi kukuona hapa kambini!?" Yule mwanaume akiwa na Sura ya ukauzu aliuliza.

Basi Nomani alitoa maelezo kwa ufupi Kwamba kapotea anaomba msaada.


"Oya Athumani hawa ndo madogo ambao watakuwa wanatuibia vitu vyetu kila Siku hapa kambini!" Nomani akiwa anajitetea kuna jamaa mwingne alikuja huku akiwa na Sura ya ukauza zaidi.

Nomani kwanza ilibidi akarishwe chini na kuanza kuulizwa huku akiwa anakula makofi.

Nomani alijitahidi kutoa maelezo, ila kutokana na maelezo yake na sehemu ambayo alikuwa anaonesha kwamba katokea hakuna ambaye aliona ni ukweli.


"Dogo wewe mwizi, unawezaje kutokea kwenye ule msitu wakati tunajua kwenye ule msitu hakuna watu wanao ishi, wewe umetokea kule kama nani!?" Nomani alikuwa kabanwa na maswali ambayo alishindwa kujibu mwishowe aliamua akae tu kimya.

Basi wale jamaa walimtandika Nomani sitiki za kutosha wakiwa wanaamini ni mwizi, maana eneo hilo vijana kutokea kijiji Cha jirani walikuwa wanakuja kuiba muno, hasa pindi wale majamaa wanapo kuwa mashambani, maana kipindi hicho kilikuwa Cha palizi ya mpunga.


Nomani baada ya kutimuliwa pale kambini alianza kujisogeza taratibu taratibu kwenye kijiji ambacho kilikuwa karibu na eneo hilo na tayari ilikuwa jioni.

Nomani alienda kuishia kwenye nyumba ya Bibi mmoja hivi, na Nomani alikuwa hoi huku mwili ukiwa umelegea, na Nomani alizimia pale pale upenuni.


Bahati nzuri yule Bibi mwenye mji wake naye ndo alikuwa anarudi tokea kwenye pombe, baada ya kukuta mtu pale nje alianza kumumwagia maji.

Nomani alizinduka lakini mwili ulikuwa hauna nguvu yaani alikuwa kalegea anashindwa hata kuongea.

Yule Bibi alikoroga uji wa bila hata sukari na kuanza kumnywesha Nomani.


Hakika chakula ni mhimu kwa binadamu, yaani baada ya Nomani kupiga bakuri zima la uji baada ya lisaa kupita hata sauti ilianza kusikika.

Nomani alimuelezea yule Bibi stori kwa ufupi kumhsu na aliomba msaada akae pale walau kwa muda.


Wakati Nomani anatoa maelezo yote hayo kujieleza yule Bibi naye alionekana ana jambo lake, maana ujio wa Nomani pale ulifanya Sura yake kuwa ya furaha zaidi.

Hakika Nomani aliamini yule Bibi ni mkarimu maana alikuwa kachangamkiwa haswa yaani alikarimiwa muno jioni ile, alipikiwa magimbi, akapewa na maziwa ya mgando, yaani Nomani alijiona kama anakula Pizza ndani ya paradiso.

Masaa yalisogea, muda wa kulala Nomani alioneshwa sehemu ya kulala na alipewa shuka zito kabisa kwa ajili ya kustili baridi, hakika Nomani alijisikia vyema.

Usiku wa manane yule Bibi aliamuka na  kuvaa kaniki nyeusi huku akionekana kabisa ana jambo lake, kwa muonekano na ishara tu ambazo Bibi yule alikuwa anazifanya alionekana ni mwanga na mchawi.


Yule Bibi alielekea kwenye chumba ambacho Nomani alikuwa kalala kwa usiku huo, Bibi yule alifanya anacho fanya ishara za hapa na pale, alimsogelea Nomani huku akiwa kamgusa kichwa, yule Bibi alitamka maneno anayo yajua baada ya hapo alipotea ndani ya chumba kile akiwa na Nomani.

Bibi yule alienda kutua chini ya mti mkubwa ambao ulikuwepo hapo Kijijini, na eneo hilo walionekana wachawi wengi kukusanyika huku wakiwa wanaimba nyimbo zao.


"Jamani ile dhamu Yangu ya kutoa nyama naitizimiza leo, nimewaletea nyama hii hapa!" Yule Bibi akiwa anamuonesha Nomani mbele ya wachawi wenzake aliongea, ila mkubwa wa lile kundi la wachawi alionekana kukasirika muno Mara baada ya maneno ya yule Bibi.


"Bi Mwantumu nadhani umeanza kukizoea chama, yaani unatuletea nyama iliyo chacha, nyama isiyo na radha, sisi tulikwambia tunamtaka mjukuu wako aliyepo mjini hatutaki nyama zilizo chacha!" Hayo yalikuwa ni maneno ya mkubwa wa kile chama, na maneno hayo yalifanya Nomani aponee chupu chupu kuliwa.

Yule Bibi alimrudisha Nomani akiwa mnyonge muno, yaani hakufurahishwa kabisa, na Bibi yule alionekana hayupo tayari kumtoa huyo ambaye alisadikika ni mjuu wake ambaye alikuwa anaishi mjini.


Masaa yalisogea hatimaye palikucha, Nomani aliamuka akiwa na uchovu kama wote, ila asubuhi ile yule Bibi alionekana kuwa tofauti na jana yake usiku, yaani ule ukarimu ulikuwa haupo tena.

Nomani alishangaa yule Bibi kakunja Sura kama anataka kuitia kwenye mfuko, yaani alikuwa hamchangamkii Nomani kama jana yake.


"Kijana ebu kula hayo magimbi uondoke, msaada wangu unaishia hapa!" hayo yalikuwa maneno ya Bibi yule ambayo yalifanya Nomani ashangae, maana Bibi yule alikuwa kabadilika mudi yake gafla.

Kwakuwa hata hivyo Nomani alikuwa kapata pata nguvu kidogo alishukuru kwa ule msaada kidogo alio upata, alikula yale magimbi baada ya hapo alimuaga yule Bibi kwa kushukuru.


Awamu hii akili yote ya Nomani Sasa ilikuwa inawaza kurudi mjini, maana aliona kukaa vijijini ni changamoto kubwa muno, yaani aliona ni bora arudi kupambana mjini.

Pale kijijini kuna magari mengi tu yalikuwa yanafika kwa ajili ya shughuli mbali mbali, kwa sababu eneo hilo lilikuwa linasifika kwa kilimo, haswa Cha mpunga.


Nomani akiwa anahaha Namna ya kurudi mjini, bahati nzuri alikutana na gari aina ya fuso ikiwa imetoka kushusha mifuko ya mbolea pale kijiji, na Nomani aliigundua ile fuso kwamba inatokea kwenye kiwanda Chao, maana marehemu Baba yake Mr Fekon alikuwa anamiliki kiwanda Cha kutengeneza na kusambaza mbolea.


Basi lile fuso likiwa linaondoka kurudi mjini, Nomani alidandia kwa nyuma na kutulia.

Safari ile ilikuwa ndefu muno, yaani ilikuwa ni Zaid ya masaa 15 mpaka kufika mjini.


Kwa Mara nyingine baada ya miaka kama miwili kupita Nomani alirudi mjini, na gari iliingia pale mjini mida ya saa saba za usiku.

Nomani usiku huo alilala chini ya kibanda Cha mbao ambacho kilikuwa kimejengwa pembezoni mwa Barabara kwa ajili ya kuuzia matunda.


Kutokana baridi kali na manyunyu ya mvua ambayo yalikuwa yanadondoka usiku huo Nomani hakupata hata lepe la usingizi, Zaid Zaid alihisi kichwa kinamuuma.

Hatimaye palikucha mpaka asubuhi, watu wakiwa wanapishana kuwahi makazini kutafutia familia zao chochote kitu, Nomani yeye alikuwa anatembea huku mikono ikiwa kichwani, yaani alikuwa kajikatia tamaa kabisa na maisha, na alikuwa tayari kwa lolote lile.


Bahati mbaya kwa Nomani wakati anaranda randa mtaani akiwa haelewi anaelekea wapi, mtu wake na bwana Dosomi alimuona.

Muda huo Nomani kichwani mwake alikuwa anajisemea kwamba liwalo na liwe kitu alicho kifanya alielekea pale pale nyumbani kwao akiwa anataka kwenda kudai haki yake.


Bahati nzuri kama kawaida Kabla hajaingia kule ndani alimkuta olenashi pale getini.

"Nomani mwaka na miezi kadhaa ulikuwa umetoka Mimi nikajua umekubaliana na yote inakuwaje Sasa unarudi? unataka kufa ama!?" Olenashi kama kawaida alimkataza Nomani kwenda kule ndani ila Nomani yeye alikuwa hataki kuelewa.

Basi olenashi aliamua kumvutia Nomani kwenye kibanda chake ili asije akaonwa, maana ilikuwa ni asubuhi na Mama Samir na Farhan bado walikuwa wapo Nyumbani.


Bahati mbaya wakati Olenashi anamvutia Nomani ndani, Mr Farhan ndo alikuwa anatoka ndani, kwa hiyo aliona tu mtu akiingizwa ndani ila hakugundua kama ni Nomani.

Farhan kwanza ilibidi asogee kwenye kibanda kile Cha mlinzi kujua ni mtu gani kaingia na mlinzi mule ndani.


"Nomani sikiliza, hasira hazisaidii ni kweli Mali ni zako, na umedhurumiwa ila huna Cha kufanya, Labda Mimi nikushauri unamjua yule Mama bonge bonge ambaye alikuwa rafiki wa Baba yako?, kwake ni pale bondeni, Sasa nenda kwa huyo atakusaidia kupata haki yako, maana hata hivyo yeye anajuana na wanasheria wengi wakubwa" olenashi alimpa Nomani mawazo, na olenashi alikuwa anafunguka bila kutambua kama nje pana mtu anasikiliza.


"Sasa uncle Ole, vipi kuhusu vifo vya wazazi wangu wewe ulisema Mama na Uncle Farhan na Baba yake na Victor ndo wahusika, itakuwaje nao si naweza kuwafungulia kesi!?" Noman alikuwa anazidi kupekenyua mambo bila kugundua kama kuna mtu anasikiliza nje.


Hapa ndo tunaenda kuanza Sasa mkasa wenyewe unao Sadifu kichwa Cha hii Hadithi,je ni gereza gani linatajwa,usikose sehemu zijazo.


Tukutane sehemu ya 10

Share:

YATIMA GEREZANI 8


YATIMA NA GEREZA LA KUTISHA 😭😭


Mtunzi: Mwaki Ze Done


Sehemu ya 8.


Basi baada ya dakika kama mbili Dosomi na vijana wake walitoka kwa ajili ya kwenda kumsaka Nomani popote anapo kimbilia, yaani walijiapiza kwamba Siku hiyo lazima wamalize kazi.


Nomani mbio zake zilienda kuishia kwenye varanda la watu, yaani alikaa pale kwenye varanda huku akiwa anahema muno.

Bahati mbaya kwa Nomani ile sehemu ambayo alikuwa kakaa, mtu mwenye ile nyumba alikuwa katoka kuibiwa siku chache zilizo pita.


Nomani akiwa anahema pale varandani huku anakumbuka Jinsi alivyo koswa na risasi alishangaa kumuona mtu anatoka ndani kupitia mlango wa nyuma wa nyumba ile, mtu huyo alikuwa kashika bonge la panga.

Nomani baada ya kugundua anafwata ni yeye alianza kutimua tena mbio upya.


"Jamani mwizi!! Mwizi!! Kamata mwizi huyo!!" Awamu hii Nomani alianza kufukuzwa na nduru za wizi nyuma, Nomani alijikuta anajikojolea kwa Mara ya pili, huku nguo zake zikiwa zinaendelea kunuka, maana kijana alikuwa ashajichafulia.

Watu kibao walijitokeza kumkimbiza Nomani huku neno mwizi ndo likiwa linasikika.


Nomani alikuwa anakimbia kama hana akili nzuri, katika kukimbia Nomani aliona mbele kuna watu wamesimama wanamurika na tochi, muda huo nyuma kundi la watu lilikuwa linakuja.

Nomani akiwa anasema liwalo na liwe huku anasonga mbele, lahaula uso kwa macho alimuona Baba victor akiwa na vijana wake kule mbele huku wakiwa wanaangaza na tochi zao.


Nomani alitamani kurudi nyuma ila nako tayari watu walikuwa wanamfukuza, maeneo hayo palikuwa karibu na kambi ya jeshi na ndo sehemu pekee ambayo Nomani aliona anaweza kimbilia, maana mbele kulikuwa na wabaya wake, pia nyuma kundi la watu wakiwa wameshika kila aina ya siraha walikuwa wanakuja.


Nomani akiwa haelewi litakalo mtokea, aliruka ukuta na kuingia ndani ya kambi la jeshi, baada ya hapo alienda kujificha nyuma ya kibanda ndani ya kambi hiyo.

Nomani alitulia maeneo yale huku akiwa anahema haswa na harufu kali ikiwa inamtoka.

Siku ya kufa nyani miti yote huteleza, Nomani akiwa kakaa pale, Mara mbwa wa pale kambini walimuona na walianza kubweka huku wakiwa wanamsogelea, yaani walikuwa mbwa kweli kweli, na walikuwa wanatisha haswa.


Kutokana na uoga wa Nomani alianza kukimbia, hapo ndipo alipo haribu, maana wale mbwa walianza kumfukuza.

Nomani akiwa ndani ya kambi ile huku haelewi hata anako kimbilia alianza kupiga makelele, baada ya kuona mbwa wanakaribia kumnasa.


Nomani akiwa tayari ashadakwa mguu na wale mbwa, gafla wanajeshi kama wawili walifika na kuwafukuza wale mbwa.


"Dogo umetoka wapi mpaka unakuja kubwatuka humu ndani!?" Wale wanajeshi walimchukua Nomani na kuanza kumuuliza maswali.

Nomani alikuwa anatetemeka anashindwa hata kuzungumza, yaani mdomo ulikuwa mzito haswa, ni harufu tu za kinyesi na mkojo zilikuwa zinamtoka Nomani.


Nomani baada ya kukaa kimya alirambwa makofi mazito matatu, alijikuta anaona dunia nzima inazunguka.


"Mimi!!!!..eeeee!!.. naniiii!!.. nime...nime.....!!" Nomani akiwa kachanganyikiwa huku anababaika kujibu, alibebwa juu kwa juu na mjeda mpaka nje ya kambi.


"Dogo usije fanya makosa kama uliyo fanya leo utakuja kuolewa sawa eeee!?"hayo yalikuwa maneno ya mjeda yule baada ya hapo alimuacha Nomani pale pale.

Siku hiyo Nomani aliona kama haiishi hivi yaani alikuwa anatetemeka haswa, kijana Nomani alienda kutulia kwenye mtaro, yaani alikaa ndani ya mtaro mpaka kulipo anza kupambazuka.


Kulipo kucha tu Nomani alitembea Mpaka kwenye kimto ambacho kilikuwa kimekatiza ndani ya mji huo, basi kijana alioga vizuri na kufua nguo zake, bila hata sabuni.

Noman alizivaa nguo zake zikiwa mbichi vile vile na kuingia mtaani, ila tayari mtaani watu walikuwa wametegwa kila kona kwa ajili ya kumsaka.


Kitendo Cha Nomani kuingia tu mtaaani alianza kuandamwa.


Nomani akiwa anatembea hana hili wala lile alishagaa kuna mtu anamuita.


"Dogo vipi unaweza kazi ya kufagia fagia, kuna Banda la kuku hivi nataka ukanisaidie kufagia ntakupatia pesa!" Baada ya mtu yule kumuita hayo ndo maneno ambayo Nomani aliambiwa, basi kijana Nomani Meno yote yalimtoka baada ya kupata dili.


Basi Nomani alibebwa kwenye pikipiki ambayo yule jamaa alikuwa nayo.

Mungu Siku zote ana namna nyingi za kuokoa watu wake,  Nomani akiwa kabebwa kwenye pikipiki Mara kuna jamaa alimuita yule jamaa ambaye alikuwa kampa Nomani dili.

Baada ya yule bwana kuitwa alipunguza mwendo wa pikipiki ili kusikiliza kaitiwa nini.


"Oya dogo Mau, Boss Dosomi yuko wapi mbona hakamatiki kwenye Simu Sasa!?" Hayo yalikuwa maneno ya yule jamaa aliye simamisha pikipiki, na maneno hayo yalifanya Nomani ashituke pale pale na machale kumcheza, yaani alipo gundua tu jina la Dosomi limetajwa aligundua hakuna cha dili wala Bibi yake dili.


Nomani aliruka kwenye ile pikipiki ikiwa inatembea taratibu taratibu, baada ya hapo aliingia uchochoroni na kupotea kabisa eneo lile.

Nomani aligundua anasakamwa pale mjini kila kona, maana kila sehemu anayo pita alihisi kuna watu wanamfuatilia.


Masaa yalisogea hatimaye ulifika usiku, Nomani alijikuta anenda kulala stendi, sehemu ya abilia kujipimzisha, maana alikuwa hana pa kwenda.

Nomani akiwa pale stendi katulia, alisikia pembeni kuna majamaa wanazungumza maswala ya kwenda kwenye vibarua kunako mashamba ya mpunga huko vijijini.


"Kwa hiyo mwanangu huyo boss anatafuta watu wangapi!?" 


"Watu kama kumi hivi anatafuta, tayari washapatikana kama Saba, hao watatu ndo kazi kuwapata!"


"Daaa!! Mwanangu uhakika lakini pesa ipo isije ikawa miyeyusho!?"


"Pesa ipo babu mchawi wewe tu!!" 


"Basi mwanangu mwambie boss kaongezeka mwingine, si umesema maswala ya nauli juu yake!"

Hayo ni mazungumzo ambayo Nomani akiwa pale alishawishika kusogea kuyasikiliza, baada ya kugundua kuna dili la kibarua, Nomani bila kujari ni kazi za aina gani aliamua kuomba naye awe miongoni.

Japo kuwa alikuwa mdogo kiumri ila kutokana na watu wa kwenda huko kuwa haba yule jamaa alimkubalia.

Basi Nomani alitulia pale stendi mpaka asubuhi huku akiwa anajihisi homa kali,   asubuhi ile yule jamaa alikuja kumchukua Nomani kumpeleka kwa boss.

Baada ya hapo vijana wote walio patikana na kukubali kwenda kijijini kwenye mashamba ya mpunga walitafutiwa usafiri na kuanza safari ya kwenda huko.


Nomani aliogopa kusema kwamba anaumwa kwa sababu aliogopa kwamba ataambiwa yeye asiende, na ukichukulia tayari pale mjini alikuwa anaona dalili za kufa kufa.

Safari ile ilikuwa ndefu muno, na kijana Nomani homa ilikuwa inazidi kuwa kali, hatimaye alianza kutetemeka ndani ya Gari huku akiwa anatoa jasho jingi Muno.


"Oya mkubwa mbona kama huyu dogo anaumwa!!" Basi kuna jamaa alikuwa anaitwa Ommary baada ya kuona Nomani anatoa jasho aliamua kumwambia yule jamaa ambaye alikuwa kawatafuta, ambaye ndo alikuwa kama wakala wa boss.

Nomani aliulizwa lakini aligoma kwamba haumwi.


Ila vijana wengi ambao walikuwa kwenye msafara ule walikuwa washagundua kwamba dogo anaumwa ila anaficha.

Safari iliendelea hatimaye ilifika mida ya jioni huku wakiwa bado hawajafika huko waliko kuwa wanaenda, wakiwa bado wanaendelea na safari Nomani alizidiwa na homa hatimaye alizimia ndani ya Gari.


Ule msafara baada ya kufika kwenye moja ya kijiji ambacho kilikuwa kimechangamka kidogo waliuliza zahanati ambayo ipo hapo kijijini, na kweli walielekezwa.


"Huyu kijana ni mgonjwa muno, alafu kaishiwa damu hapa sisi tutampatia huduma ya kwanza tu, itabidi mfanye mpango mumpeleke hospital kubwa" hayo yalikuwa ni maneno ambayo akina Ommary walipewa na mtabibu wa ile zahanati.

Yule jamaa ambaye ndo alikuwa boss was msafara aliona Sasa ule ni msara anaubeba, na pia aliona atatukanwa na boss kumchukua mtu mgonjwa.


Wale vijana waliamua kumtelekeza Nomani pale pale zahanati akiwa anapata huduma ya kwanza.

Nomani alisaidiwa baadhi ya huduma za kwanza, ila mtu wa kumpeleka hospital hakuwepo tena ilibidi kijana akae pale pale zahanati.


Usiku wa manane Nomani ndo alizinduka, na hakuelewa yupo Sehemu gani, kijana huyo kichwa kilikuwa kinauma muno.

Noman ilibidi kwanza atulie pale kitandani mpaka palikucha, hapo ndipo alipo muona Mama mtu mzima akiwa anaingia mule ndani.


"Afadhari umezinduka, vipi mbona ndugu zako wamekukimbia kwani nyumbani wapi!?" Baada ya Mama yule ambaye alikuwa mtabibu kuingia mule ndani alimuuliza Nomani Maswali ambayo Nomani hakujua ajibu vipi.


"Kwa hiyo kijana nakuuliza wewe umekaa kimya siyo!? Basi naomba uondoke Mimi Sina msaada zaidi, mtu mwenyewe hujalipia hata shilingi kumi" Mama yule baada ya kuona Nomani yupo kimya aliamua kuanza kutukana, na alimtimua Nomani pale zahanati.


Noman akiwa na njaa kali,huku hali yake ikiwa siyo nzuri aliondoka pale zahanati na kuanza kudhurura huku na kule.

Nomani alijaribu kuuliza sehemu wanayo lima mpunga maeneo hayo akiamini kwamba akienda ataenda kuwakuta kina Ommary, ila aliambiwa mpunga unako limwa ni mbali muno kutokea pale, yaani unatembea karibia masaa kumi.


Nomani Katika tembea tembea alijikuta anaenda kuomba msaada kwa Mzee mmoja ambaye alikuwa anaitwa Mzee Makanja, na Mzee huyo hapo kijijini alisifika kwa ufugaji wa mifugo kama mbuzi na kondoo, yaani alikuwa na mbuzi Zaid ya 200 na kondoo wa kutosha.

Nomani baada ya kufika pale kwa hari ambayo alikuwa nayo alishindwa hata kujielezea vizuri, ila ni neno tu naomba msaada ndo lililo sikika kutoka kwa Nomani.


Mzee huyo alikuwa anaishi na mke wake pamoja na mjukuu wao, basi Nomani alikaribishwa na alipewa chakula, ambapo ulikuwa ugari wa mhogo.

Nomani alikula kama haji kula tena, baada ya Nomani kupata chakula angalau hata nguvu zilimjia na alikuwa ananyosha maelezo vizuri.


Basi Nomani alitoa maelezo ambayo aliona yatamsaidia kupata msaada, na kweli maelezo yake yalifanya Nomani akaribishwe katika familia ile.


Maisha mapya ya Nomani yalianza katika kijiji kile, Nomani akiwa kama mchungaji wa mbuzi na kondoo kwa yule Mzee.

Mwanzo Nomani aliona maisha magumu kutokana na mazingira ya pale Kijijini, ila kadri siku zilivyo zidi kusogea Nomani alikuwa anazoea mazingira taratibu.

Ilipita miezi kama Saba Nomani akiwa ashazoea mazingira, na Nomani alikuwa anaitwa jina la utani mchunga mbuzi, na hiyo ilitokana na watu kuamini kwamba Nomani alikuja pale kijijini kwa ajili ya kibarua Cha kuchunga mbuzi.

Nomani wala hakujali aliona ni sawa tu, Nomani alikuwa anafanya kazi ya kuchunga mbuzi na kondoo huku mshahara wake ukiwa ni chakula na kulala tu.


Maisha ya Nomani yalizidi kuwa ya papatupapatu kutokana na kwamba alianza kupakaziwa kesi za wizi pale kijijini, yaani kila tukio la wizi linalo tokea pale kijijini Nomani alijikuta anahusishwa.

Yaani kesi kumhusu Nomani zilikuwa haziishi kwenye ofisi ya Kijiji yaani kila Siku Nomani alikuwa anaitwa kwenye ofisi za kijiji anapigwa fimbo za kutosha kama onyo.

Nomani pamoja na yote aliona ni poa tu, yeye aliendelea na kazi yake ya kuchunga mbuzi na kondoo pale kwa Mzee Makanja.


Baada ya miezi kama Sita hivi kupita huku misuko suko kwa kijana Nomani ikiwa haiishi, kuna mkasa wa wizi ulijitokeza, Mzee Makanja aliibiwa mbuzi wake kama kumi na kondoo wawili na ailiibiwa usiku.

Kwakuwa Nomani ndo alikuwa mchungaji wa ile mifugo pale nyumbani basi kesi yote ilimdondokea Nomani kwamba ndo kaiba.


"Nasemaje Awamu hii sikuachi kijana, Mimi miaka yote sijawahi ibiwa yaani Mara baada ya wewe kuwepo hapa kwangu ndo nimeibiwa, yaani nina uhakika ni wewe umeiba, hata kama siyo wewe basi umeshirikiana na wezi" Mzee Makanja alikuwa anaongea kwa ukali mpaka mate yalikuwa yanamtoka.

Nomani alikamatwa na kupelekwa kwenye ofisi za kijiji huku watu wakiwa wamejazana.


"Achomwe moto huyo!!"

"Tumpeleke mto wa adhabu huyo"

"Haiwezekani huyo dogo mwizi, kwanini yeye Mara baada ya kuja wizi ndo umeongezeka hapa Kijijini"

"Apelekwe mtoni, hatutaki maelezo" 


Hizo zilikuwa ni kauli mbali mbali kutoka kwa watu ambao Walikuwa wamejazana pale kwenye ofisi za kijiji, na kila mtu alikuwa anaamini kijana Nomani ni mwizi, au kama siyo yeye basi anakula madili na wezi.


Kwakuwa ofisi ya kijiji ilikuwa imeyachoka matatizo na kesi za Nomani pale ofisini, Awamu hii maamuzi waliyo yafanya waliamua kwamba Nomani apelekwe mtoni, yaani mto huo ulikuwa unaitwa mto wa adhabu.

Na waharifu wote walio shindikana Walikuwa wanapelekwa huko, ukisha fikishwa huko unafungwa jiwe kubwa na zito mgongoni, baada ya hapo unadumbukizwa kwenye huo mto ambao ulikuwa unatisha kweli kweli, na ulikuwa na kina kirefu haswa.


Yaani ndani ya mto huo hakuna mtu ambaye alikuwa kadumbukizwa na akapona, na ndo huo mto iliamuliwa Nomani apelekwe baada ya kuona matukio ya wizi yamezidi, na mhusika akionekana ni kijana Nomani.

Wanakijiji wakiwa wamechafukwa, huku wameandamana walimbeba Nomani juu kwa juu na kuanza kushuka mabondeni ambapo ndo huo mto ulikuwepo.

Nomani alikuwa analia tu huku akiwa haelewi hata anako pelekwa.


Safari ile ilienda kuishia kwenye mto mkubwa ambao ulikuwa una kina kirefu haswa.

Nomani baada ya kuona mto ule kwanza kwa uoga tu alijikojolea pale pale, maana hata kuogelea tu mtoto wa watu alikuwa hajui.


"Oya fanyeni haraka tafuteni jiwe kubwa tumfunge tumalize kazi, maana mvua hii inakuja" jamaa Mmoja ambaye alionekana kuwa na roho mbaya kweli kweli aliongea kwa mizuka, hapo ndipo uoga ulizidi kuwa mkubwa kwa kijana Nomani baada ya kugundua kwamba anafungwa jiwe zito ndo anatupiwa kwenye maji.

Basi jiwe kubwa lilitafutwa na pia kamba maarumu kwa ajili ya kufungia zililetwa,muda huo kimvua kilikuwa kimeanza kupiga kwa mbali.


"Oya fanyeni haraka mvua inakuja hii jamani!" Basi kuna jamaa mwingne aliongea kuharakisha Mambo, Nomani alijikuta anajikatia tamaa picha ya Baba yake ikiwa inamjia kichwani, kijana alijikuta anafumba macho huku akiwa tayari kwa kile kinacho enda kutokea.


Je ndo mwisho wa Nomani!? Au kuna muujiza utajitokeza??


Tukutane sehemu 9


 

Share:

YATIMA GEREZA LA KUTISHA 7

 

YATIMA NA GEREZA LA KUTISHA 😭😭


Mtunzi: Mwaki Ze Done


Sehemu ya 7.


Maisha yalizidi kusogea hatimaye miezi Tisa ya ujauzito wa Mama yako ilifika na hapo ndipo hiii Siri ninayo kwambia leo inaanzia, ilikuwa ni jumapili Siku hiyo Baba yako alikuwa yupo mikoani kusambaza mbolea, ikiwa ni mida ya saa moja za Jioni Mama yako alipatwa na uchungu.

Mimi nikiwa getini huku nilisikia kelele za vilio ndani, hapo ilibidi niende nilipo ingia ndani kufika sebuleni nilikuta Mama yako akiwa yupo kwenye uchungu na anataka kujifungua, Zena alikuwa yupo pembeni akiwa anamsaidia Mama yako.

Nilimshauri Zena kama vipi tumkimbize Mama yako hospital, lakini Zena alinihakikishia kwamba atajifungua Salama kwa sababu maswala ya ukunga yeye kapitia.


Ni kweli Mimi nilitoka nje, kusubiri kinacho endelea, yalipita masaa kama mawili, nikiwa getini nilimuona Zena akiwa bize na Simu na alitoka mpaka nje na kwenda kwenye bustani kuongea na Simu ile.

Mimi nikiwa na wasiwasi mkubwa ilibidi niingie ndani kwanza kwenda kuona hali ilivyo, niliingia ndani bahati nzuri nilikuta Mama yako kajifungua salama kabisa na Mama yako alikuwa yupo chumbani.

Basi Mimi kujihakikishia nilifika mpaka kwenye mlango wa chumba Cha Mama yako nilichungulia, niliona Mama yako kakaa kitandani huku akionekana yupo sawa na Mtoto wake alikuwa kalala pembeni.

Baada ya kuona Mama yako yupo sawa na kajifungua salama kiukweli nilifurahi, basi ilibidi nitoke kimya kimya bila kumbuguzi na nilirudi tena getini huku nikiwa na furaha, na muda wote huo bado Zena alikuwa anaongea na Simu pale kwenye bustani, na bahati nzuri au mbaya alikuwa hajaniona Mimi kama nimeingia ndani ama laa!!.


Basi zilipita dakika kama kumi Zena nilimuona akiingia ndani, ila nikiwa pale getini dakika kumi tu kupita baada ya zena kuacha kuwasiliana na Simu, Bwana Dosomi akiwa na Farhan walifika na Gari.

Japo kuwa Dosomi nilikuwa na wasiwasi naye toka muda mrefu ila sikuona kama kuna haja ya kumzuia kuingia, kwa sababu aliniambia ni dharura, na Mimi nilikuwa nishajua dharura ni mke wa boss kujifungua.


Ikiwa ni mida ya saa nne za usiku Dosomi na Farhan waliingia Ndani, Mimi nikiwa nipo getini.

Zilipita dakika kama ishirini tu nilisikia vilio ndani, na niligundua ni sauti ya Zena, basi haraka haraka ilibidi nikimbilie eneo la tukio nikiwa naamini akina Dosomi watakuwa wanamdhuru.


"Rafiki yangu Mimi jamani, rafiki yangu jamani nafanyaje Mimi!!nani atalea Mtoto jamani!" Baada ya Mimi kuingia ndani hayo ni maneno ambayo yalikuwa yameambataba na kilio kizito ambayo Zena alikuwa anayatoa.

Kwanza ilibidi nipigwe na mshangao, niliuliza nini tatizo, majibu niliyo pewa ndo yalifanya nichoke zaidi.

Niliambiwa kwamba Mke wa boss kafariki wakati anajifungua na kaacha Mtoto mchanga.


Hakika niliishiwa nguvu na kukaa chini yaani akili ni kama iliniruka, ila nilipo mwangalia bwana Dosomi niligundua shati lake lina madoa ya damu, mpaka hapo niligundua mke wa boss atakuwa kauawa na siyo kufariki, na kingine Mimi mwenyewe kwa macho Yangu nilikuwa nimemuona amejifungua Salama na ni mzima kabisa, ila nilishangaa muno kuambiwa kwamba kafariki wakati akijifungua.

Basi usiku ule ule Zena kushirikiana na kina Dosomi walichukua mtoto mchanga ambaye ndo ulikuwa wewe na walichukua mwili wa Mama yako na kuelekea hospital kwenda kuhifadhi.


Wakiwa wamebeba mwili wa Mama yako, niliona Dosomi akiwa na bastola kiunoni, hapo ndipo uoga wangu wa kutunza Siri ulipo anzia.

Basi Siku hiyo ilipita kwa ugumu muno na hapa Nyumbani niliona pazito muno, nilikumbuka na ukarimu wa marehemu basi nilijikuta chozi tu linatiririka.


Ikiwa ni Siku mpya, Baba yako alirudi toka mikoani baada ya kupewa taarifa na kina Dosomi.

Basi Mimi baada ya kuonana na Baba yako nilijaribu kumgusia kwamba akina Dosomi huwenda kuna namna wamefanya kuhusu mkewe, ila Baba yako alikuwa mbishi kutokana na Namna alivyo kuwa anawaamini.


Baba yako alikuwa na rafiki yake wa kike ambaye walikuwa wanatoka kijiji kimoja yaani alikuwa anamchukulia kama ndugu hivi ambaye alikuwa anaitwa Pili, basi Mimi ilibidi nimwelezee yule Dada hali halisi niliyo ishuhudia, lakini kitu alicho nambia alisema nikae kimya kwa sababu nikianza kujifanya shahidi naweza bebeshwa ile kesi kwa sababu Dosomi alikuwa anajuana na Maaskari karibia wote.

Basi zilipita Siku mbili Mazishi ya Mama yako yalifanyika,ila Pili uvumilivu ulimshinda, kitu alicho fanya aliamua kumfuata Zena na kumchana makavu laivu Kwamba yeye ndo kahusika na kila kitu, na alimtishia kwamba asipo sema ukweli, basi ataenda kutangaza kila mtu ajue.


Mazungumzo kati ya Pili na Zena Mimi niliyasikia vizuri kwa sababu walikuwa wanaongelea hapo nje ya geti.

Baada ya yale mazungumzo hayakupita masaa hata ishirini taarifa za Pili kuvamiwa na majambazi na kuuawa zilitufikia, mpaka hapo uoga ndo ulizidi kunijaa zaidi, nilijikuta nabaki na Siri Yangu moyoni.

Maisha yalizidi kusogea, huku Mtoto mchanga ambaye ndo wewe akiwa analelewa na Zena hapa Nyumbani, basi baada ya miezi kama sita hivi, akina Dosomi na rafiki wengine wa Baba yako walimshawishi Baba yako amuoe Dosomi ili wasaidiane kumlea mtoto kama Baba na Mama.

Ni kweli hata mwezi haukupita ndoa ilifungwa bomani, japo kuwa ilikuwa dini mbili tofauti ila ndoa ilipita na wawili hao rasmi walikuwa mume na mke.


Hapo maisha mapya yalianza kwa familia nzima, kwanza Mimi niliacha kuchukuliwa kama mwanafamilia tena, yaani hata Ndani sikuruhusiwa kuingia tena kama mwanzo na zote zilikuwa sheria za Zena.

Siku zilizidi kusogea huku Sasa wewe ukiwa kama mtoto wa Zena na kila mtu alianza kuamini Kwamba ni mtoto wa Zena kutokana na Zena alivyo kuwa anakulea na kukujali.


Pamoja na Zena kuolewa na Baba yako ila hakuacha kutoka usiku, Siku zingine nilikuwa namuona Farhan anakuja mpaka hapo getini na bajaji baada ya hapo Zena anatoka.

Nilijaribu kumgusia Baba yako ile hali ila Baba yako alikuwa mbishi, na Baba yako alikuwa ni mtu wa kusafiri muno, kwa hiyo kipindi hicho Zena alikuwa anakitumia vizuri Sana.


Baada ya miaka kama miwili na kitu kupita, Zena alipta ujauzito ambao kila mtu aliamini ni wa baba yako.

Ila kuna Siku Zena aliletwa hapa na gari na Mimi nikiwa humu Ndani nilisikia muungurumo wa gari nje japo kuwa halikupiga honi, hapo ilibidi nifungue mlango mdogo na kuchungulia, kwa masikio Yangu niliskia Farhan na Zena wanabishana kuhusu ujauzito!! Zena alikuwa anasema ujauzito ule akabidhiwe Mr Fekon, ila Farhan alionekana kuwa na wasiwasi na alikuwa anamtaka Mama yako adai taraka wagawane baadhi ya Mali ili wao waende kuishi pamoja kulea ujauzito wao, ila Mama yako alimgomea Farhan na alisema ana mipango mizito zaidi kuhusu Mali za Mr Fekon.


Kuanzia Siku hiyo niligundua Zena pamoja na kuwa mke wa Baba yako ila hana Lengo zuri, kuna muda niliogopa kumwambia Baba yako kutokana na Jinsi alivyo kuwa anampenda Zena, na inaonekana Baba yako alikuwa karishwa tayari limbwata maana alikuwa haelewi kitu kumhusu Zena.


Maisha yalizidi kuendelea huku tabia za Zena zikiwa ni zile zile, mwishowe alijifungua mtoto ambaye ndo Samir.

Pamoja na Baba yako kutaka mtoto wake aitwe Moses, lakini Zena alikataa na kusema mwanae hawezi kuitwa Jina la kikristo, hapo ndipo alipo muita mwanae Samir.

Baba yako naye alikubali japo hakupendwa aitwe Baba Samir, maisha yaliendelea huku mukiwa munalelewa vyema, ila mipango ya Zena na kina Dosomi nilikuwa sielewi kabisa, maana kila Baba yako akisafiri Dosomi na watu wake walikuwa wanakuja hapa wanaongea na Mama yenu baada ya hapo wanaondoka.


Baada ya miaka kama sita kupita hivi, Baba yako ni kama aligundua kwamba Samir siyo mwanae wa damu, hapo ndipo upendeleo wa wazi ulianza kwa Mr Fekon, yaani alikuwa anakupenda wewe kupita kiasi kuliko Samir.

Hiyo hali ilikuwa haimfurahishi kabisa Zena, na alionekana Kabisa kuna mipango yupo nayo.


Maisha yaliendelea, Baba yako alikuwa anakoswa koswa kuuawa kwenye baadhi ya matukio japo hakugundua ni watu gani wanamfuatilia, alicho amini ni kwamba ni wafanya biashara wenzake.

Nilijaribu kumgusia Baba yako kwamba asiwaamini kina Dosomi kwani siyo watu wazuri, ila Baba yako alionekana kunipuuzia maneno yangu na Siku zingine alikuwa ananitishia kunifukuza kazi akiwa anaamini ninacho ongea ni upuuzi.


Mwisho wa Siku ndo kama kilicho kuja kutokea, Mimi nikiwa getini nililetewa taarifa tu kwamba boss kagongwa na Gari na kufariki.

Kwa hiyo, hii ndo Siri nipo nayo miaka mingi, wewe ni Kama mwanangu kwa sababu ulikuwa mtoto wa rafiki yangu ndo maana sitaki upatwe na majanga, na kwa saizi wewe huna cha kufanya kwa Sababu vyombo vyote vya haki na usalama bila kuwa na pesa utaonekana una hatia tu" Hiyo ilikuwa ni stori fupi ya olenashi ambayo alimsimulia Nomani ndani ya kibanda kile, kijana Nomani mwili mzima ulibaki umepigwa ganzi kwa stori ambayo alikuwa kapewa.

Yaani ni machozi tu ndo yalikuwa yanaonekana kwa kijana Nomani.

Uncle Mimi naenda kuwachana ukweli siwezi kukubali, Mali za Mzee ziende hivi hivi naziona!" Nomani akiwa kama karukwa na akili alitoka ndani ya kile kibanda na kuelekea ndani, olenashi alijaribu kumkamata lakini Nomani alionekana kuwa mbishi huku akiwa na hasira haswa.

Nomani alizama ndani huku pua zikiwa zinapanda na kushuka, baada ya kuingia alikuta watu wametandaza vinywaji mezani wanaburudika.


Kwanza kila mtu aliye kuwepo mule ndani alishangaa kumuona Nomani.


"Dosomi mambo gani haya, wewe umesemaje!?" Mama Samir aliuliza kwa sauti kubwa huku akiwa na mshangao.


"Wauaji wakubwa nyie, kwa hiyo Mama unataka kuniua ili urithi Mali za baba na mwanao siyo, au unafikiri bado sijajua Siri zako!?" Nomani akiwa na hasira huku anapumuliana alianza kupayuka.

Basi kijan Nomani akiwa anapiga mikwara, Dosomi alimuonesha kijana wake ishara kwamba Nomani akamatwe, bahati nzuri ile ishara Nomani aliiona vyema.


Nomani baada ya kugundua anataka kukamatwa alichoropoka na kutoka nje kwa kasi, ila akiwa anakimbia Dosomi alichomoa bastola na kufyatua risasi, yaani ile risasi ilimkosa Nomani, ilipita kwenye sikio na kumchana kidogo sikio.


Nomani kwanza haja zote mbili zilimtoka, alipo toka nje alidondoka chini kabla hajafika hata getini, baada ya sekunde kama tatu Nomani akili ndo ilikaa vizuri na aligundua yupo mikononi mwa mtu kabebwa anarudishwa ndani.

Nomani akiwa anaona kifo kinamuita, alimng'ata kwa nguvu yule jamaa ambaye alikuwa kambeba, baada ya Nomani kuachiwa mbio alizo toka nazo pale zilikuwa siyo za Dunia hii.

Muda huo olenashi baada ya kusikia risasi ndani yeye alikuwa kwenye kibanda chake akiwa anazuga kama kalala yaani alikuwa anatetemeka haswa.


Nomani alipita pale getini kama mshare,  yaani alikuwa anaona kama sikio linawaka moto na kuna vitu vinalia ndani ya sikio, hakika Siku hiyo kimbembele kilimponza.

Basi baada ya dakika kama mbili Dosomi na vijana wake walitoka kwa ajili ya kwenda kumsaka Nomani popote anapo kimbilia, yaani walijiapiza kwamba Siku hiyo lazima wamalize kazi.


Tukutane sehemu ya nane 8

Share:

KICHAA MPELELEZI FINAL

 SIKUJUA KICHAA ANAELALA NJE YA JENGO LANGU NI MPELELEZI ANAEMTAFUTA GAIDI WA KIZUNGU NILIYEMUOA BILA MIMI KUJUA NI GAIDI😳😭 





Sehemu ya 43,44&45  MWISHO✍️


Nikiwa tayari nimekwishavalia baibui langu na nikabu ambayo iliyonifunika uso wote na kuacha sehemu ya macho🥷 nikajilaza kitandani huku nikiwaza ni kwa namna gani nitachomoka marekani nirejee tanzania bila jeshi la polisi la marekani kunitia nguvuni, wakati naendelea kujadiliana na serikali pamoja na bunge la kichwa changu mara ghafla😳 nikasikia huko nje polisi wakiongea na muhudumu wa vyumba, walimueleza kwamba kuna muhalifu wanamtafuta hivyo wakamuomba CCTV camera 🎥 ambayo ingenasa picha za watu wote waliowasili hotelini hapo, kwa bahati nzuri muhudumu aliwaeleza kwamba CCTV camera iliyokuwa inatumika hotelini hapo imeharibika, basi wakamwambia "basi sawa sio tabu hebu waamshe wateja wako wote tukague chumba hadi chumba" niliposikia kauli hiyo mwili wote ulianza kunitetemeka mpaka utumbo, kwani niljua ni lazima tu nitiwe nguvuni.


Basi nikakaa kimya nikingoja kitakachojiri, niliwasikia wakikagua chumba hadi chumba huku wakiwauliza wateja majina yao na sehemu walipotoka pamoja na kazi zao, waliuliza chumba hadi chumba walipofika kwenye chumba changu wakagonga mlango 😳 hapo nikajidai nimelala na ninakoroma kama paka aliye usingizini😀 wakapiga mpaka simu ya mezani📞 iliyokuwa mule chumbani, simu iliita mda mrefu lakini bado nilizidi kujikausha. "Mh huyu mtu vipi ni usingizi gani huo yani pamoja na kubamiza kote mlango kiasi hichi manusura uvunjike lakini bado yupo usingizini hapana huenda ndiye muhalifu mwenyewe kwani kwenye daftari na mteja wa chumba hichi ameandika jina gani" Askari alimuuloza muhudumu wa vyumba. "Ameandika George Nicholus" muhudumu alijibu. "Na ameandika ametoka wapi? Askari alimuuliza tena muhudumu. " Washngton Dc " muhudumu alimjibu askari kwamba natokea jiji la washton Dc lililopo hapohapo marekani, "Ni sawa lakini  kama ni mwema kwanini ajikaushe asifungue mlango, je alikuwa ni mzungu au ni mwafrica" askari alizidi kumdodosa muhudumu. Swali hilo likawa mwiba kwangu kwani wakati naingia mpaka napewa chumba nilikuwa bado sijavalia yale mavazi tangu ya kujificha yani baiubui na nikabu🥷. "Ni mwafrica na anadai yeye ni mfanyabiashara wa madini" alijibu muhudumu. "Je ni huyu hapa kwenye picha" askari aliendelea kumuuliza muhudumu huku akimuonyeshea picha yangu. "Sina uhakika maana hapa nahudumia watu wengi na kuna vyumba zaidi ya mia mbili ishirini hivyo ni vigumu kukariri kila sura ya mteja anayeingia na kutoka" alisema muhudumu. 


"Sawa kama ni mwafrica tunaomba tuvunje mlango, tutalipa gharama za mlango na ikiwa sio yeye tunayemtafuta pia tutamlipa gharama za usumbufu" alisema askari. Basi sawa" muhudumu alikubaliana nao. Moyoni nikasema "Kishanuka sasa hapa natembeza mkong'oto 👊bila kujali ni nani atapita mbele ya macho yangu" niliongea kimoyomoyo huku nikiwa bado nimejilaza pale kitandani wakati huo mlango wakiendelea kuvunja mlango, mlango ulipofunguka nikajifanya nimekurupuka kitandani mfano wa mtu aliyekuwa anaota ndoto mbaya akashtuka na kupiga kelele. Tena nilipiga kelele kwa kuigiza sauti ya kike😨 "Heee mbona sasa ni mwanamke yupo na kwenye daftari amejiandikisha mwanaume. Aliuliza askari na nilikuwa hodari wa kuigiza sauti ya kike haswa yani Joti wa kutokea Tanzania akasome. "Wewe dada kulikoni umejiandikisha jina la kiume ile hali wewe ni mwanamke" askari alianza na swali hilo.

Mimi nilikuwa na mume wangu tulikuja hapa kuenjoy kama wapenzi ila ameitwa kazini maana yeye ni mfanyabiashara wa madini na yeye ndiye aliyejiandikisha kwenye kitabu" Nilijibu. "Hebu kwanza toa hiyo nikabu yako sisi tunataka tuongee na mtu ambaye tunaona sura yake" alisema askari. "Kaka dini yangu hairuhusu" nilijibu kwa kulegeza sauti. "Dada acha kuleta mambo ya udini kwenye serikali toa nikabu yako haraka sana😔 usituletee udini wako hapa kila mtu ana imani yake lakini tuwapo kwenye mambo ya kiserikali wote tuwamoja na pia wewe unaonekana ni muhalifu tu kwasababu utalalaje na hizo nguo 🤔"


Alisema askari. Kabla hajakaa sawa nilimchopu ngumi👊 ya kidevu, alianguka pembeni haraka nikashika kiti kilichokuwa mule chumbani, nikaanza kuwatembezea wenzanzake kwa kuwatwanga nacho vichwani, yani kila aliyejileta aliambulia kiti cha kichwa, nilipopata tu kaupenyo sikutaka kung'oja nnzi wajae😜 nilichomoka mbio na kuanza kukimbia, baadhi walinikimbiza lakini walishindwa kunipata, asubuhi yake nilienda uwanja wa ndege nilikata pasport ya kusafiria ambayo ilikuwa na jina la kike, nilisafiri mpaka uturuki na huko nilobadili sura yangu na kuwa ni ya mwanaume ambaye ni chatara mwenye asili ya kizungu na africa kisha nikakata pasport tena ya kusafiria na kurudi Tanzania, iliniwia vigumu ndugu za kunielewa lakini sauti pamoja na kuwatambua ndugu wote wa ukoo pamoja na kuwatajia majina yao hadi waliokufa viliwafanya waniamini, hata hivyo nilihama nilipokuwa naishi  kuhamia kijijini kabisa ambapo kwa sasa nimejiwekeza katika biashara mbalimbali ila kiuhalisia natumia sura ambayo sio yangu. Yote yote pia nimejifunza kutokuwakaribisha watu nisiowafahamu vizuri nyumbani kwangu . 


MWISHO SEASON 02!!!


USISAHAU SEASON 3 NDIO Final NA MAPEMA WIKI HI ITATOKA


Share:

Saturday, December 2, 2023

KICHAA MPELELEZI 41 $ 42

 



SIKUJUA KICHAA ANAELALA NJE YA JENGO LANGU NI MPELELEZI ANAEMTAFUTA GAIDI WA KIZUNGU NILIYEMUOA BILA MIMI KUJUA NI GAIDI😳😭 41&42


Doctor Shedy alikunywa pombe nyingi🍾kupita kiasi na kulewa chakari mithili ya mlevi wa mataputapu, nikiwa sina hili wala lile mara ghafla😨 Doctor Shedy akaanza kuropoka mbele ya Mr Michael na wanajeshi wengine, "Watanzania hasa wapare na wachaga wanapenda hela sana 😀 yani mtu yuko radhi akane damu yake ili apate mabilioni ya pesa, hcho ndicho alichokifanya Brighton ila kawaida ya sisi walevi ni wasema kweli acha tu ukweli usemwe, vipimo vya DNA vya mtoto wa Cara vinaonyesha baba wa mtoto ni Mr. Brighton" aliropoka Doctor Sheddy na kumfanya mr. Michael apigwe na butwaa na kutoa macho😳 kama mtu aliyepokea habari mbaya za kuogofya, "Mbona wewe doctor hueleweki, sasa kama mtoto ni wa Brighton kwanini ukanibambikizia mimi ee" aliuliza Michael huku akiwa amekunja uso wake 😩kwa hasira. "Wewe nawe kwahiyo kukuambia ukweli mapema ni kosa, au ulitaka ulee mtoto wa kidume mwenzio kisha huko baadae ushagharamika ndio uje kuujua ukweli😜?" Doctor Sheddy alimuuliza Mr. Michael kwa sauti ya kilevi wakati huo nilikuwa nimeduwaa sana🫢baada ya doctor Sheddy kuvujisha siri. Haraka Mr. Michael akamkunja tai Doctor Sheddy, "Sema ukweli kwanini uliamua kunidanganya, na ole wako usiseme ukweli nakwambia hizo pombe zitakuisha leo☹️" aliongea Mr Michael huku akiwa amemkaba Doctor Sheddy shingo yake kwa kumshika tai. "Niachie basi niseme" Doctor Sheddy alijitetea "Haya sema" Mr Michael alimwambia kwa kumkoromea. "Ukweli ni kwamba Mr. Brighton ndiye aliyeniambia kwamba ikitokea vipimo vya DNA vikaonyesha mtoto ni wake basi nisimtaje yeye bali nikutaje wewe kwasababu kama nitamtaja yeye kuna uwezekano wa yeye kukosa hela alizoahidiwa kulipwa kwa kigezo kwamba atahisiwa kwamba kuna njama anazopanga dhidi ya jeshi na pia ataonekana anashirikiana na majambazi mpaka akafikia kuwa na uhusiano wa kimapenzi na Clara hivyo aliniomba nimfichie siri na pia akaniahidi akilipwa atanikatia fungu kidogo kwa kazi niliyoifanya ya kumfichia siri." Doctor Sheddy alitoboa siri wakati huo mkuu wa vikosi vya jeshi na wanajeshi wengine walikuwa wakisikiliza kwa umakini �sana.


"Lione vile yani kama lizwazwa hapo tayari limeshaunguza picha yani tena halijalewa hili huenda limefanya makusudi maana kawaida ya wabongo hatupendani, wivu na chuki ndio vinatusumbua hapo limeona nimewekewa mabilioni ya pesa kwenye akaunti yangu likajisikia wivu " Niliongea kimoyomoyo huku nikimtazama Doctor Sheddy kwa hasira sana🥺 na machozi yakinilengalenga. Mkuu wa vikosi vya jeshi akamnyamazisha Dr. Sheddy pamoja na Mr. Michael na wanajeshi wengine ambao walikuwa wakiendeleza minong'ono. Baada ya wote kukaa kimya mkuu wa jeshi akaanza kuongea "Nchi yetu inapinga vikali sana kitendo cha mtu kutoa rushwa ili apate cheo au kitu fulani anachokihitaji, kwa hili ni dhahiri kabisa kwamba Mr. Brighton atakuwa anashirikiana na Clara kwa namna moja au nyingine, na huenda kuna mpango anausuka ndio maana akawa anajipendekeza kwetu, kwa maana hiyo aswekwe mahahusu mara moja ili kupisha uchunguzi wa kina dhidi yake😨" alisema mkuu wa vikosi vya jeshi na kuwaamuru wanajeshi wawili wanikamate na kuniweka ndani ya gari nipelekwe mahabusu. Pale nikaona sasa nisipojitetea kufa na kupona nitaswekwa gerezani hivi hivi naona, na kwa jinsi wazungu wasivyotupenda sisi waafrica naweza kupewa hata kesi ya uhaini kwenye taifa la watu na nisiwekewe dhamana, basi wakati wale wanajeshi wananifuata ili wanikamate, nilinyanyuka mara moja nilopoketi na kuanza kukimbia🏃🏿‍♂️ walianza kunikimbiza huku wakiniftatulia risasi, nilikimbia kwa kupindapinda nikizikwepa zile risasi zisinipate😁, nilipotoka tu nje ya kambi ya Jeshi kuna jaamaa alikuwa anataka kupaki pikipiki yake nje ya duka moja, kabla hajaizima nilimpiga kikumbo akadondoka pembeni, nikamnyang'anya pikipiki🏍️ na kuanza kukimbia nayo , nilivuta mafuta nikiwa kwenye mwendo mkali sana maana nyuma yangu nilikuwa nakimbizwa na gari dogo la kijeshi, hapo nikajiongeza kupita njia za vichochoro ambapo lile gari la kijeshi 🚔 haliwezi kupita, hapo nikakatiza vichororo kadhaaa na kuwaacha kwenye mataa😀 Nilikimbia na kutoka kabisa maeneo ya makazi ya watu na kwenda kujificha maeneo ya porini chini ya daraja kubwa sana, niliwasha simu yangu  haraka, na kumpigia mdogo wangu ambaye yupo Tanzania kwa whatsap call, nikafanya utaratibu wa kuhamisha zile bilioni sabini kutoka kwenye account yangu kwenda kwenye account yake ya benki. 


Niliendelea kukagua simu yangu mara nikautana😳 na picha zangu kwenye vyanzo vya habari vya marekani wakiwa wamenipost kila kona wakiambatanisha kichwa cha habari kilichosomeka "JAMBAZI MWENYE ASILI YA KITANZANIA ANATAFUTWA NA JESHI LA POLISI KWA KOSA LA KUSHIRIKIANA NA MAJAMBAZI WENGINE KWA KOSA LA KUVUNJA MABENKI NA KUSABABISHA MAAFA YA MAMIA YA WATU, yoyote atakaefanikisha kupatiana kwake atapatiwa donge nono kama zawaidi. " nilisoma taarifa hizo huku moyo ukinidunda balaa😳 "Mungu wangu tayari nishabambikiziwa kesi ya mauwaji, hivi wakinipata si nimekwisha mimi🤔" niliwaza, basi usiku uleule nilienda benki za marekani kwasababu zilikuwa zinafanya kazi masaa 24 nikatoa kama milioni saba ambazo nilibakiza kwenye account yangu, baada ya kutoa haraka nikaondoka bila kupoteza muda maana kuna watu walianza kunitizama usoni nahisi walianza kunifananisha na picha zangu zilizopostiwa, baada ya kuondoka pale nikaenda kwenye duka la nguo nikanunua baibui na nikabu ya kuficha uso, nikaenda hotelini na kuchukua chumba , kwenye daflari la kujiandikisha wageni nikaandia jina tofauti lakini la kiume, ila nilipoingia chumbani nikabadilisha mavazi haraka na kuvaa yale ya baibui na nikabu, wakati nipo ndani ya chumba changu mara nikasikia nje polisi wakiongea na muhudumu wa vyumba " Sisi ni jeshi la polisi samahani hapa hotelini kwako una CCTV camera" polisi aliuliza . "hapana ilishaharibika" alijibu  muhudumu. "Basi sawa kuna muhalifu tunamtafuta kama kungekuwa na CCTV camera ingekuwa rahisi kumpata ila kwasababu hamna waamshe wateja wako wote tufanye ukaguzi chumba hadi chumba" alisema polisi. Macho yalinitoka😳moyoni nikasema sasa kimenuka..   .


JE ITAKUWAJE SASA ? BRIGHTON ATAKAMATWA AU? Hakika mambo ni moto si kitoto🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥😁 hakikisha unalike na kucoment ili nije chaaaap


PLEASE VISIT AGAIN OUR BLOG KWAAJILI YA KUPATA SIMULIZI MPYA KILA SIKU

KARIBU TENA MGENI



Share:

YATIMA GEREZANI 7

 



YATIMA NA GEREZA LA KUTISHA 😭😭


Mtunzi: Mwaki Ze Done


Sehemu ya 7.


Maisha yalizidi kusogea hatimaye miezi Tisa ya ujauzito wa Mama yako ilifika na hapo ndipo hiii Siri ninayo kwambia leo inaanzia, ilikuwa ni jumapili Siku hiyo Baba yako alikuwa yupo mikoani kusambaza mbolea, ikiwa ni mida ya saa moja za Jioni Mama yako alipatwa na uchungu.

Mimi nikiwa getini huku nilisikia kelele za vilio ndani, hapo ilibidi niende nilipo ingia ndani kufika sebuleni nilikuta Mama yako akiwa yupo kwenye uchungu na anataka kujifungua, Zena alikuwa yupo pembeni akiwa anamsaidia Mama yako.

Nilimshauri Zena kama vipi tumkimbize Mama yako hospital, lakini Zena alinihakikishia kwamba atajifungua Salama kwa sababu maswala ya ukunga yeye kapitia.


Ni kweli Mimi nilitoka nje, kusubiri kinacho endelea, yalipita masaa kama mawili, nikiwa getini nilimuona Zena akiwa bize na Simu na alitoka mpaka nje na kwenda kwenye bustani kuongea na Simu ile.

Mimi nikiwa na wasiwasi mkubwa ilibidi niingie ndani kwanza kwenda kuona hali ilivyo, niliingia ndani bahati nzuri nilikuta Mama yako kajifungua salama kabisa na Mama yako alikuwa yupo chumbani.

Basi Mimi kujihakikishia nilifika mpaka kwenye mlango wa chumba Cha Mama yako nilichungulia, niliona Mama yako kakaa kitandani huku akionekana yupo sawa na Mtoto wake alikuwa kalala pembeni.

Baada ya kuona Mama yako yupo sawa na kajifungua salama kiukweli nilifurahi, basi ilibidi nitoke kimya kimya bila kumbuguzi na nilirudi tena getini huku nikiwa na furaha, na muda wote huo bado Zena alikuwa anaongea na Simu pale kwenye bustani, na bahati nzuri au mbaya alikuwa hajaniona Mimi kama nimeingia ndani ama laa!!.


Basi zilipita dakika kama kumi Zena nilimuona akiingia ndani, ila nikiwa pale getini dakika kumi tu kupita baada ya zena kuacha kuwasiliana na Simu, Bwana Dosomi akiwa na Farhan walifika na Gari.

Japo kuwa Dosomi nilikuwa na wasiwasi naye toka muda mrefu ila sikuona kama kuna haja ya kumzuia kuingia, kwa sababu aliniambia ni dharura, na Mimi nilikuwa nishajua dharura ni mke wa boss kujifungua.


Ikiwa ni mida ya saa nne za usiku Dosomi na Farhan waliingia Ndani, Mimi nikiwa nipo getini.

Zilipita dakika kama ishirini tu nilisikia vilio ndani, na niligundua ni sauti ya Zena, basi haraka haraka ilibidi nikimbilie eneo la tukio nikiwa naamini akina Dosomi watakuwa wanamdhuru.


"Rafiki yangu Mimi jamani, rafiki yangu jamani nafanyaje Mimi!!nani atalea Mtoto jamani!" Baada ya Mimi kuingia ndani hayo ni maneno ambayo yalikuwa yameambataba na kilio kizito ambayo Zena alikuwa anayatoa.

Kwanza ilibidi nipigwe na mshangao, niliuliza nini tatizo, majibu niliyo pewa ndo yalifanya nichoke zaidi.

Niliambiwa kwamba Mke wa boss kafariki wakati anajifungua na kaacha Mtoto mchanga.


Hakika niliishiwa nguvu na kukaa chini yaani akili ni kama iliniruka, ila nilipo mwangalia bwana Dosomi niligundua shati lake lina madoa ya damu, mpaka hapo niligundua mke wa boss atakuwa kauawa na siyo kufariki, na kingine Mimi mwenyewe kwa macho Yangu nilikuwa nimemuona amejifungua Salama na ni mzima kabisa, ila nilishangaa muno kuambiwa kwamba kafariki wakati akijifungua.

Basi usiku ule ule Zena kushirikiana na kina Dosomi walichukua mtoto mchanga ambaye ndo ulikuwa wewe na walichukua mwili wa Mama yako na kuelekea hospital kwenda kuhifadhi.


Wakiwa wamebeba mwili wa Mama yako, niliona Dosomi akiwa na bastola kiunoni, hapo ndipo uoga wangu wa kutunza Siri ulipo anzia.

Basi Siku hiyo ilipita kwa ugumu muno na hapa Nyumbani niliona pazito muno, nilikumbuka na ukarimu wa marehemu basi nilijikuta chozi tu linatiririka.


Ikiwa ni Siku mpya, Baba yako alirudi toka mikoani baada ya kupewa taarifa na kina Dosomi.

Basi Mimi baada ya kuonana na Baba yako nilijaribu kumgusia kwamba akina Dosomi huwenda kuna namna wamefanya kuhusu mkewe, ila Baba yako alikuwa mbishi kutokana na Namna alivyo kuwa anawaamini.


Baba yako alikuwa na rafiki yake wa kike ambaye walikuwa wanatoka kijiji kimoja yaani alikuwa anamchukulia kama ndugu hivi ambaye alikuwa anaitwa Pili, basi Mimi ilibidi nimwelezee yule Dada hali halisi niliyo ishuhudia, lakini kitu alicho nambia alisema nikae kimya kwa sababu nikianza kujifanya shahidi naweza bebeshwa ile kesi kwa sababu Dosomi alikuwa anajuana na Maaskari karibia wote.

Basi zilipita Siku mbili Mazishi ya Mama yako yalifanyika,ila Pili uvumilivu ulimshinda, kitu alicho fanya aliamua kumfuata Zena na kumchana makavu laivu Kwamba yeye ndo kahusika na kila kitu, na alimtishia kwamba asipo sema ukweli, basi ataenda kutangaza kila mtu ajue.


Mazungumzo kati ya Pili na Zena Mimi niliyasikia vizuri kwa sababu walikuwa wanaongelea hapo nje ya geti.

Baada ya yale mazungumzo hayakupita masaa hata ishirini taarifa za Pili kuvamiwa na majambazi na kuuawa zilitufikia, mpaka hapo uoga ndo ulizidi kunijaa zaidi, nilijikuta nabaki na Siri Yangu moyoni.

Maisha yalizidi kusogea, huku Mtoto mchanga ambaye ndo wewe akiwa analelewa na Zena hapa Nyumbani, basi baada ya miezi kama sita hivi, akina Dosomi na rafiki wengine wa Baba yako walimshawishi Baba yako amuoe Dosomi ili wasaidiane kumlea mtoto kama Baba na Mama.

Ni kweli hata mwezi haukupita ndoa ilifungwa bomani, japo kuwa ilikuwa dini mbili tofauti ila ndoa ilipita na wawili hao rasmi walikuwa mume na mke.


Hapo maisha mapya yalianza kwa familia nzima, kwanza Mimi niliacha kuchukuliwa kama mwanafamilia tena, yaani hata Ndani sikuruhusiwa kuingia tena kama mwanzo na zote zilikuwa sheria za Zena.

Siku zilizidi kusogea huku Sasa wewe ukiwa kama mtoto wa Zena na kila mtu alianza kuamini Kwamba ni mtoto wa Zena kutokana na Zena alivyo kuwa anakulea na kukujali.


Pamoja na Zena kuolewa na Baba yako ila hakuacha kutoka usiku, Siku zingine nilikuwa namuona Farhan anakuja mpaka hapo getini na bajaji baada ya hapo Zena anatoka.

Nilijaribu kumgusia Baba yako ile hali ila Baba yako alikuwa mbishi, na Baba yako alikuwa ni mtu wa kusafiri muno, kwa hiyo kipindi hicho Zena alikuwa anakitumia vizuri Sana.


Baada ya miaka kama miwili na kitu kupita, Zena alipta ujauzito ambao kila mtu aliamini ni wa baba yako.

Ila kuna Siku Zena aliletwa hapa na gari na Mimi nikiwa humu Ndani nilisikia muungurumo wa gari nje japo kuwa halikupiga honi, hapo ilibidi nifungue mlango mdogo na kuchungulia, kwa masikio Yangu niliskia Farhan na Zena wanabishana kuhusu ujauzito!! Zena alikuwa anasema ujauzito ule akabidhiwe Mr Fekon, ila Farhan alionekana kuwa na wasiwasi na alikuwa anamtaka Mama yako adai taraka wagawane baadhi ya Mali ili wao waende kuishi pamoja kulea ujauzito wao, ila Mama yako alimgomea Farhan na alisema ana mipango mizito zaidi kuhusu Mali za Mr Fekon.


Kuanzia Siku hiyo niligundua Zena pamoja na kuwa mke wa Baba yako ila hana Lengo zuri, kuna muda niliogopa kumwambia Baba yako kutokana na Jinsi alivyo kuwa anampenda Zena, na inaonekana Baba yako alikuwa karishwa tayari limbwata maana alikuwa haelewi kitu kumhusu Zena.


Maisha yalizidi kuendelea huku tabia za Zena zikiwa ni zile zile, mwishowe alijifungua mtoto ambaye ndo Samir.

Pamoja na Baba yako kutaka mtoto wake aitwe Moses, lakini Zena alikataa na kusema mwanae hawezi kuitwa Jina la kikristo, hapo ndipo alipo muita mwanae Samir.

Baba yako naye alikubali japo hakupendwa aitwe Baba Samir, maisha yaliendelea huku mukiwa munalelewa vyema, ila mipango ya Zena na kina Dosomi nilikuwa sielewi kabisa, maana kila Baba yako akisafiri Dosomi na watu wake walikuwa wanakuja hapa wanaongea na Mama yenu baada ya hapo wanaondoka.


Baada ya miaka kama sita kupita hivi, Baba yako ni kama aligundua kwamba Samir siyo mwanae wa damu, hapo ndipo upendeleo wa wazi ulianza kwa Mr Fekon, yaani alikuwa anakupenda wewe kupita kiasi kuliko Samir.

Hiyo hali ilikuwa haimfurahishi kabisa Zena, na alionekana Kabisa kuna mipango yupo nayo.


Maisha yaliendelea, Baba yako alikuwa anakoswa koswa kuuawa kwenye baadhi ya matukio japo hakugundua ni watu gani wanamfuatilia, alicho amini ni kwamba ni wafanya biashara wenzake.

Nilijaribu kumgusia Baba yako kwamba asiwaamini kina Dosomi kwani siyo watu wazuri, ila Baba yako alionekana kunipuuzia maneno yangu na Siku zingine alikuwa ananitishia kunifukuza kazi akiwa anaamini ninacho ongea ni upuuzi.


Mwisho wa Siku ndo kama kilicho kuja kutokea, Mimi nikiwa getini nililetewa taarifa tu kwamba boss kagongwa na Gari na kufariki.

Kwa hiyo, hii ndo Siri nipo nayo miaka mingi, wewe ni Kama mwanangu kwa sababu ulikuwa mtoto wa rafiki yangu ndo maana sitaki upatwe na majanga, na kwa saizi wewe huna cha kufanya kwa Sababu vyombo vyote vya haki na usalama bila kuwa na pesa utaonekana una hatia tu" Hiyo ilikuwa ni stori fupi ya olenashi ambayo alimsimulia Nomani ndani ya kibanda kile, kijana Nomani mwili mzima ulibaki umepigwa ganzi kwa stori ambayo alikuwa kapewa.

Yaani ni machozi tu ndo yalikuwa yanaonekana kwa kijana Nomani.


"Uncle Mimi naenda kuwachana ukweli siwezi kukubali, Mali za Mzee ziende hivi hivi naziona!" Nomani akiwa kama karukwa na akili alitoka ndani ya kile kibanda na kuelekea ndani, olenashi alijaribu kumkamata lakini Nomani alionekana kuwa mbishi huku akiwa na hasira haswa.

Nomani alizama ndani huku pua zikiwa zinapanda na kushuka, baada ya kuingia alikuta watu wametandaza vinywaji mezani wanaburudika.


Kwanza kila mtu aliye kuwepo mule ndani alishangaa kumuona Nomani.


"Dosomi mambo gani haya, wewe umesemaje!?" Mama Samir aliuliza kwa sauti kubwa huku akiwa na mshangao.


"Wauaji wakubwa nyie, kwa hiyo Mama unataka kuniua ili urithi Mali za baba na mwanao siyo, au unafikiri bado sijajua Siri zako!?" Nomani akiwa na hasira huku anapumuliana alianza kupayuka.

Basi kijan Nomani akiwa anapiga mikwara, Dosomi alimuonesha kijana wake ishara kwamba Nomani akamatwe, bahati nzuri ile ishara Nomani aliiona vyema.


Nomani baada ya kugundua anataka kukamatwa alichoropoka na kutoka nje kwa kasi, ila akiwa anakimbia Dosomi alichomoa bastola na kufyatua risasi, yaani ile risasi ilimkosa Nomani, ilipita kwenye sikio na kumchana kidogo sikio.


Nomani kwanza haja zote mbili zilimtoka, alipo toka nje alidondoka chini kabla hajafika hata getini, baada ya sekunde kama tatu Nomani akili ndo ilikaa vizuri na aligundua yupo mikononi mwa mtu kabebwa anarudishwa ndani.

Nomani akiwa anaona kifo kinamuita, alimng'ata kwa nguvu yule jamaa ambaye alikuwa kambeba, baada ya Nomani kuachiwa mbio alizo toka nazo pale zilikuwa siyo za Dunia hii.

Muda huo olenashi baada ya kusikia risasi ndani yeye alikuwa kwenye kibanda chake akiwa anazuga kama kalala yaani alikuwa anatetemeka haswa.


Nomani alipita pale getini kama mshare,  yaani alikuwa anaona kama sikio linawaka moto na kuna vitu vinalia ndani ya sikio, hakika Siku hiyo kimbembele kilimponza.

Basi baada ya dakika kama mbili Dosomi na vijana wake walitoka kwa ajili ya kwenda kumsaka Nomani popote anapo kimbilia, yaani walijiapiza kwamba Siku hiyo lazima wamalize kazi.




PLEASE VISIT AGAIN OUR BLOG KWAAJILI YA KUPATA SIMULIZI MPYA KILA SIKU

KARIBU TENA MGENI



Tukutane sehemu ya 8

Share:

List

Contact

Featured

YATIMA GEREZANI 12

  YATIMA NA GEREZA LA KUTISHA 😭😭 Mtunzi: Mwaki Ze Done Sehemu ya 12. Nomani akiwa anachukua ile bastola bahati mbaya yule mkubwa alimuona,...

Sample Text